Wadau wataka sera kusaidia wabunifu nchini

 Dar es Salaam. Wadau wa ujuzi wa kidijitali, wameiomba Serikali kutengeneza sera itakayowasaidia wabunifu na wavumbuzi kushiriki katika masuala ya teknolojia kwa sababu kuna vijana wana mawazo ya kibunifu lakini sera zilizopo zinawasababisha kushindwa kufanya kazi kwa ukamilifu. Hayo yamesemwa leo Jumatano  Mei 22, 2024 na mwezeshaji kutoka Kitengo cha Ubunifu cha Youth 4 Children…

Read More

FDH YAWANOA WATUMISHI SUMA JKT LUGHA YA ALAMA

KUTOKANA na changamoto ya mawasiliano iliyopo kwa watu wenye ulemavu hususani wasio sikia na wasioona katika taasisi mbalimbali zikiwemo za umma Shirika la kuhudumia watu wenye ulemavu (FDH) limetoa mafunzo ya lugha ya alama kwa watumishi wa Shirika la Uzalishaji mali la Suma JKT.Mafunzo hayo yatasaidia watumishi wa shirika hilo kutoa huduma kwa makundi yote…

Read More

MAENDELEO BANK PLC YAZINDUA TAWI JIPYA MBAGALA ZAKHIEM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila leo Mei 22,2024 amefungua rasmi tawi jipya la Benki ya Maendeleo Mbagala Zakhiem Wilaya ya Temeke Jijini humo. Akiongea wakati wa hafla ya ufunguzi wa Benki hiyo ameipongeza menegimenti ya Maendeleo Benki kwa uwekezaji mkubwa na namna walivyojipanga kutoa huduma bora za kibenk katika Mkoa…

Read More

NMB yatoa msaada wa pikipiki 20 za milioni 65 Arusha

Benki ya NMB imekabidhi pikipiki 20 zenye thamani ya zaidi ya Sh 65 milioni zitakazosaidia kuimarisha ulinzi mkoani Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha…(endelea). Mchango huo ambao umetolewa kwa Jeshi la Polisi mkoani humo unaendana na mpango mkakati wa benki hiyo wa kuendeleza sekta ya utalii unaolenga kuimarisha mifumo endelevu ya ikolojia ya utalii. Akizungumza wakati…

Read More

Benki ya NMB yatoa msaada wa pikipiki 20 zenye thamani ya shilingi milioni 65 kwa mkoa wa Arusha, yajizatiti kuendeleza sekta ya utalii.

Na Mwandishi Wetu, Arusha Benki ya NMB imekabidhi pikipiki 20 zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 65 zitakazosaidia kuimarisha ulinzi mkoani Arusha. Mchango huo ambao umetolewa kwa Jeshi la Polisi mkoani humo unaendana na mpango mkakati wa benki hiyo wa kuendeleza sekta ya utalii unaolenga kuimarisha mifumo endelevu ya ikolojia ya utalii. Akizungumza wakati…

Read More