PPAA kuanza kutumia kanuni za rufani Julai 2024

Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imejipanga kuanza kutumia Kanuni za Rufaa za Ununuzi wa Umma za mwaka 2024 rasmi kuanzia Julai 01, 2024. Hayo yalibainishwa na Katibu Mtendaji wa PPAA, James Sando Jijini Dodoma wakati wa kikao kazi cha kupokea maoni ya uandaaji wa Kanuni za Rufaa za Ununuzi…

Read More

Kutambuliwa Palestina kama dola huru kwasifiwa na kupingwa – DW – 22.05.2024

Saudi Arabia imeupongeza uamuzi wa Ireland, Norway na Uhispania wa kulitambua taifa huru la Palestina na imezitaka nchi nyingine kufanya hivyo. Katibu mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Palestina (PLO), Hussein Al-Sheikh, amesema hatua hii ni ya kihistoria na amezishukuru nchi ambazo zimetambua na zinazofanya jitihada za kulitambua Taifa huru la Palestina. Amethibitisha kuwa hii…

Read More

Samsung Electronics Names Young Hyun Jun as New Head of Device Solutions Division

Samsung Electronics today announced that Young Hyun Jun was named as the new Head of Device Solutions (DS) Division to lead the Company’s semiconductor business and strengthen its competitiveness amid an uncertain global business environment. Vice Chairman Jun, who has extensive experience in the semiconductor and battery businesses, joined Samsung Electronics in 2000 and worked…

Read More

KAMPUNI YA HEINEKEN YAUNGANA NA KAMPUNI YA DISTELL, KUSHEHEREKEA MEI 25, 2024 JIJINI DAR

Meneja Mkazi hapa nchini wa kampuni ya HEINEKEN, Obabiyi Fagade, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Saam leo Mei 22, 2024. akizungumzia kampuni hiyo kuwa imeshakamilisha Manunuzi ya Kampuni ya Distell Group Holdings Limited (‘ Distell’) na Namibia Breweries Limited (‘NBL’). Kulia ni Meneja Masoko wa Heineken nchini, Lilian Pascal na kushoto ni  Meneja…

Read More

Mabadiliko ya Sheria ya Madini yawabeba Watanzania – Mavunde

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital MABADILIKO ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yametoa fursa ya kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini na kuhakikisha watanzania wananufaika na rasilimali madini. Hayo yamesemwa leo Mei 22, 2024 na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, katika ufunguzi wa Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini  linaloendelea…

Read More