
Sababu madini ya vito kuporomoka
Dar es Salaam. Kubadilika kwa soko, hali ya kiuchumi na mvua nyingi, zinatajwa kuwa sababu za kushuka kwa thamani ya madini ya vito. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti ya tathmini ya hali wa kikanda ya Desemba 2023. Ripoti inataja almasi, tanzanite na madini mengine ya vito kuwa mauzo yake yameshuka kwa zaidi ya asilimia…