Viongozi wa dini wavunja ukimya wenzao kujiua

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na mjadala kuhusu matukio ya hivi karibuni ya watumishi wa Mungu kujiua, viongozi wa dini wameeleza wao pia ni binadamu wenye changamoto zinazowakabili, hivyo isionekane ajabu wanapohitaji msaada. Viongozi hao wameweka bayana kama ilivyo kwa binadamu wengine hata wao kuna wakati hupata msongo wa mawazo, hivyo ni muhimu kukawa na…

Read More

WAZIRI MAKAMBA AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA JAPAN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba amekutana na kuzungumza na Waziri wa Nchi wa Japan anayeshughulikia Mambo ya Nje Mhe. Kiyoto Tsuji katika ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam. Viongozi hao katika mazungumzo yao wamekubaliana kuendelea kushirikiana na kufanya kazi kwa karibu kwa manufaa ya nchi…

Read More

Khamenei aongoza ibada za kuaga miili ya Raisi na maafisa – DW – 22.05.2024

Khamenei ameongoza shughuli hiyo iliyofanyika katika Chuo Kikuu cha Tehran.  Vilio na maombolezo vikisikika kutoka kwa waombolezaji waliokusanyika kwa ajili ya kuwaaga viongozi wao. Majeneza yao yaliyokuwa yamezungushiwa bendera ya Iran, yalipangwa mbele ya maafisa wandamizi na mamia kwa maelfu ya waombolezaji. Khamenei aliongozwa ibada ya  kawaida tu ya kuswalia maiti, akitumia lugha ya Kiarabu…

Read More

Tasaf yatoa matumaini wanufaika wapya

Dar es Salaam. Familia maskini ambazo hazikupata nafasi ya kuingia katika mpango wa kuwezesha kaya hizo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf),  sasa zitawezeshwa pindi awamu mpya itakapotangazwa na Serikali. Tasaf imesema kila kinachofanyika kinakwenda kwa utaratibu na kuzingatia miongozo. Ofisa Maendeleo ya Jamii, Nellusigwa Mwakigonja amesema hayo hivi karibuni, wakati akizungumza na wananchi…

Read More

WANANCHI MBOPO WAMPONGEZA RAIS SAMIA,WAZUNGUMZIA MAJI

Na Emmanuel Masaka, Michuzi TV MWENYEKITI wa Serikali za Mtaa Mbopo wilayani Kinondoni mkoani Dar es Salaam Mohamed Bushir amempongeza Rais Dk Samia Suluhu Hassan kutokana na kutoa fedha za Miradi ya maendeleo katika Kata hiyo.Akizungumza baada ya kufanyika mkutano wa wananchi uliokuwa unajadili masuala mbalimbali ya maendeleo pamoja na utatuzi wa migogoro ya aridhi…

Read More