Ayatollah Khamenei aongoza wairan kumuaga Raisi

Kiongozi wa Juu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei, ameongoza mjini Tehran, ibada ya kumswalia na kutoa heshima za mwisho kwa rais Ebrahim Raisi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Ibada hiyo pia imewahusisha waziri wake wa mambo ya nje Hossein Amir-Abdollahian na maafisa wengine wa serikali waliofariki dunia kufuatia ajali ya helikopta Magharibi mwa Iran. Ibada…

Read More

Mbunge ataka maboresho ya matunzo kwa watoto, ajibiwa

Dodoma. Mbunge wa viti maalumu (CCM), Esther Malleko ameihoji Serikali ni lini itafanya maboresho ya Sheria ya Ndoa ili ikidhi matunzo kwa watoto kwa sababu gharama za maisha zimepanda. Akiuliza swali leo Jumatano, Mei 22, 2024, Malleko amehoji: “Nini kauli ya Serikali kwa wale wanaoshindwa kutekeleza majukumu waliyokubaliana katika vikao vya usuluhishi na kusababisha watoto…

Read More

UJENZI WA MJI WA SERIKALI MTUMBA WARIDHISHA

 Serikali imesema hadi sasa watumishi wa umma 25,039 wamehamia Makao Makuu ya Nchi Jijini Dodoma pamoja na  Taasisi  65 ambapo inaendelea na  mpango kazi wa  ujenzi wa Awamu ya Pili wa majengo ya Ofisi za Wizara na Taasisi unaotarajiwa kukamilika  mwaka 2025. Hayo yalisemwa leo tarehe 21 Mei, 2024 Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri …

Read More

ELIMU YA FEDHA YAFIKA MKOA WA KAGERA

  Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mhe. Erasto Sima, akipokea vipeperushi vilivyo na taarifa mbalimbali za elimu ya fedha ikiwemo uwekaji akiba, uwekezaji, kupanga kwa ajili ya uzeeni, usimamizi binafsi wa fedha na mikopo kutoka kwa Afisa Usimamizi wa Fedha Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, baada ya kumalizika…

Read More

Sakata la umri wa kuolewa latua tena bungeni

Dodoma. Serikali ya Tanzania imesema imekamilisha uandaaji wa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Ndoa na hivi sasa muswada huo upo katika hatua za ndani za Serikali. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sajini amesema hayo leo Jumatano Mei 22, 2024 wakati akijibu swali la msingi la mbunge wa viti maalumu, Dk Thea Ntara….

Read More