
URASIMISHAJI MAKAZI KUBORESHWA-WAZIRI SILAA – MICHUZI BLOG
Na Munir Shemweta Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa amesema zoezi la urasimishaji linaloendelea maeneo mbalimbali nchini litaboreshwa ili kuleta ufanisi. Mhe. Silaa amesema hayo tarehe 21 Mei 2024 wakati wa semina kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii kuhusu Utekelezaji Mradi Uboreshaji Usalama…