‘Hakuna uchumi imara bila teknolojia na ubinifu’

 Dar es Salaam.  Serikali imesema hakuna inchi itakayoendelea na kujenga uchumi kama haitawekeza katika teknolojia na ubunifu. Hayo yamesemwa leo Mei 21, 2024 na Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Corolyne Nombo, wakati akizindua wiki ya ubunifu kwa mwaka 2024 yenye kauli mbiu “Ubunifu kwa uchumi shindani.” Akizungumza katika uzinduzi wa wiki…

Read More

Wakazi Ngorongoro wadai kusalitiwa, Mamlaka yafafanua

Dar es Salaam. Kucheleweshwa  fedha ya karo na  kujikimu kwa wanafunzi 554 wa Sekondari na vyuo kumeibua mvutano mpya kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na Baraza la Wafugaji Tarafa ya Ngorongoro (NPC). Msingi wa mvutano huo ni kitendo cha (NCAA), kushindwa kutekeleza matakwa ya mkataba walioingia tangu mwaka 1994 wa kusomesha wanafunzi hao…

Read More

NCHI WANACHAMA SADC KUENDELEA KUIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA KIFUA KIKUU MAENEO YA MIPAKANI

Na.WAF, Dodoma Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimeendelea kujiimarisha katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Kifua Kikuu mipakani kwa kutengeneza mfumo wa kukusanya na kutoa taarifa za wagonjwa wanaopatiwa rufaa za matibabu ya ugonjwa wa Kifua Kikuu maeneo ya mipaka ya nchi wanachama (Cross Border Referal System) ikiwa ni jitihada…

Read More

Ngoma bado ngumu kuinasua Mv Clarias majini

Mwanza. Jitihada za kuinasua meli ya Mv Clarias zinaendelea ikiwa ni siku ya tatu tangu ipinduke Mei 19, 2024 ikiwa imeegeshwa katika bandari ya Mwanza Kaskazini bila kuwa na abiria wala mizigo. Meli ya Mv Clarias inayofanya safari zake ndani ya Ziwa Victoria, ikitoa huduma mara mbili kwa wiki kati ya Mwanza na kisiwa cha…

Read More

ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA VIPIMO YATOLEWA KWA WABUNGE

Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar S. Shaaban ameipongeza taasisi ya Wakala wa Vipimo (WMA) kwa namna inavyoendelea kusimamia usahihi wa vipimo katika sekta mbalimbali na kuhakikisha kunakuwa na haki baina ya pande mbili zinazofanya biashara. Mhe. Omar ameyasema hayo alipotembelea banda la Wakala wa Vipimo mara baada ya kufungua maonesho…

Read More

PROF. KIPANYULA ATAJA NGUZO KUJENGA NM- AIST BORA

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof. Maulilio Kipanyula akizungumza wakati akifungua mafunzo ya viongozi wa Menejimenti na vikundi vya Watafiti yaliyoandaliwa na Taasisi hiyo kwa lengo la kuwajengea uwezo viongozi hao Mei 21, 2024 jijini Arusha. Naibu Makamu Mkuu wa Taasisi Mipango,Fedha na Utawala Prof. Susan Augustino…

Read More

Hali bado tete kijiji kilichozungukwa na maji Manyara

Manyara. Hali bado tete kwa wakazi 600 wa Kijiji cha Manyara, Wilayani Babati mkoani Manyara, waliokosa mahali pa kuishi baada ya makazi yao kukumbwa na mafuriko yaliyotokea ziwa Manyara. Ziwa Manyara limejaa na kutema maji kwenye kijiji hicho na kusababisha watu hao 600 kukosa makazi. Mmoja ya wakazi wa kijiji hicho, Eliud Hotay akizungumza na…

Read More

Baerbock azuru kwa mara nyingine Ukraine – DW – 21.05.2024

Baerbock ameonyesha mashaka hayo wakati wa ziara yake ambayo haikutangzwa nchini Ukraine.  Katika ziara hiyo, Baerbock, pamoja na mambo mengine ameyatolea wito mataifa ya magharibi kuipatia Ukraine mifumo zaidi ya kujilinda angani. Ziara yake  inafanyika baada ya Urusi kuvurumishia droni Ukraine usiku mzima wa kuamkia Jumanne, katika mashambulizi yaliyowajeruhi baadhi ya wakaazi katika mkoa wa…

Read More

Serikali yageukia zao la chai

Na Ramadhan Hassan, Dodoma SERIKALI imeweka mikakati ya kuongeza uzalishaji wa zao la chai kwa kufufua mashamba yaliyotelekezwa na kujenga viwanda saba vya kuchakata zao hilo vitakavyomilikiwa na wakulima wadogo. Hayo yameelezwa leo Jumanne Mei 21,2024 jijini hapa na Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde, wakati akizungumza katika Siku ya Chai Duniani. Silinde amesema wanamshukuru…

Read More