Israel yafanya mashambulizi Kaskazini na Kusini mwa Gaza – DW – 21.05.2024

Katika kambi ya wakimbizi ya Jabalia jeshi la Israel lilitumia matingatinga kuyasambaratisha maduka na majengo mengine karibu na soko katika operesheni inayoendelea iliyoanza wiki mbili zilizopita. Israel inadai kuwa imerejea kwenye kambi hiyo ambako miezi miwili iliyopita ilidai kuwa ililisambaratisha kundi la Hamas. Hayo yakijiri Wizara ya afya ya Palestina imeripoti kuwa vikosi vya Israel…

Read More

Ded asimulia mfumo wa ununuzi ulivyompatia tuzo ya Sh10 milioni

Mwanza. Wakati baadhi ya watumishi wa umma wakidaiwa kukwepa matumizi ya mfumo wa ununuzi wa umma wa kielektroniki (NeST), Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, Happiness Msanga ameelezea namna mfumo huo ulivyompatia Sh10 milioni kama motisha kwa kufanya vizuri kati ya halmashauri zote nchini. Baadhi ya sababu zilizoifanya Serikali kuzitaka taasisi…

Read More

Vyama vya ushirika 334 vyafilisika Geita

Bukombe. Vyama vya ushirika 334 kati ya 590 vilivyopo mkoani Geita vimefilisika na kushindwa kujiendesha kutokana na kukosa mitaji toshelevu Kufilisika kwa vyama hivyo kumetokana na mabadiliko ya sheria ndogo za huduma ndogo za fedha zinazotaka chama kiwe na mtaji usiopungua Sh10 milioni pamoja na kuwa kwenye mfumo wa ‘move’, jambo lililofanya vyama vingi kukosa…

Read More

Msitumie Dawa Kiholela – Waziri Ummy

Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini Mhe Ummy Mwalimu ameitaka jamii kuacha matumizi ya dawa za antibiotik kiholela jambo ambalo linapeleka usugu wa vimelea vya magonjwa. Waziri ummy ameyasema hayo katika mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi wa jamii kuhusu kuimarisha huduma za afya ngazi ya msingi kwa ushirikiano wa taasisi ya…

Read More

Zanzibar kuanza kutoa huduma za maktaba kimtandao

Unguja. Ili kukabiliana na uhaba wa vitabu vya kusomea na kujifunzia katika shule za msingi na sekondari, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar (Wema), imetenga Sh200 milioni kutengeneza mifumo maalumu ya maktaba mtandao. Mifumo hiyo ijulikanayo E-Library system & Library Management System, itawezesha wanafunzi kupata maudhui mbalimbali kwa njia ya mtandao. Naibu Waziri wa Elimu…

Read More

Sh32.3 bilioni kuimarisha huduma za afya Zanzibar

 Unguja. Wizara ya Afya Zanzibar, imeingia mkataba na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (Unicef) wa ununuzi wa vifaa kwa ajili kuboresha huduma za afya hususani mama na mtoto kisiwani hapa. Kupitia mkataba huo wa manunuzi wenye thamani ya Dola za Marekani 12.5 milioni (Sh32.3 bilioni), Unicef itasaidia utoaji wa dawa muhimu na…

Read More