MAKATIBU MAHSUSI WA OFISI YA RAIS -TAMISEMI WASHIRIKI MKUTANO 11 WA TAPSEA

OR – TAMISEMI, Mwanza Makatibu Mahsusi wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI wameshiriki Mkutano wa 11 wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania(TAPSEA) unaofanyika Mkoani Mwanza. Mkutano huo unawakutanisha Makatibu Mahsusi wa Tanzania Bara na Visiwani, Ofisi za Serikali na zisizokuwa za Serikali lengo likiwa ni kukumbushana maadili ya kazi zao na kubadilishana uzoefu. Akizungumza kwa niaba…

Read More

Geita, Mwanza waongoza kwa mbwa

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amesema taarifa ya sampuli ya sensa ya kilimo, mifugo na uvuvi iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mwaka 2020, ilikadiriwa Tanzania inao mbwa 2,776,918.  Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Aidha, kupitia taarifa hiyo amesema mikoa iliyoongoza kwa mbwa wengi ni Geita (302,879), Mwanza (287,270) na Tabora…

Read More

Majadiliano DPP, bosi Jatu hayajakamilika

Dar es Salaam. Serikali imesema inaendelea na majadiliano ya maridhiano ya kukiri kosa katika kesi inayomkabili Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya. Gasaya (33), anakabiliwa na makosa mawili katika kesi ya uhujumu uchumi, akidaiwa kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu. Anadaiwa kujipatia fedha hizo kutoka Saccos ya Jatu kwa madai kuwa…

Read More

Serikali yanawa mikono fidia Kimara-Kibamba

SERIKALI imewataka waathiriwa wa bomoabomoa ya upanuzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara – Kibamba uliofanyika mwaka 2017/2018, kuelewa kwamba Serikali ilitumia sheria ya barabara ya mwaka 1932 na hakuna fidia itakayoweza kulipwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Imesema kulingana na Sheria hiyo Na. 40 ya mwaka 1932, hifadhi ya barabara zinazosimamiwa na Wakala wa…

Read More

Waombolezaji watoa heshima za mwisho – DW – 21.05.2024

Raia hao mamia kwa maelfu waliobeba bendera za taifa hilo na picha za Ebrahim Raisi wameshuhudiwa katika uwanja wa Central square mjini Tabriz wakitembea kando ya gari lililobeba majeneza ya Raisi na maafisa wengine saba. Mji huo ndiko alikokuwa akielekea kiongozi huyo na ujumbe wake wakati helikopta waliyokuwa wakisafiria ilipopata ajali Jumapili. Mwili wa Raisi…

Read More

Safari ya Serikali kuhamia Dodoma kukamilika mwakani

Dodoma. Safari ya Serikali kuhamia jijini hapa  itakamilika  baada ya mpango kazi maalumu na ujenzi wa awamu ya pili wa majengo ya ofisi za wizara na taasisi utakapohitimishwa mwaka 2025. Aidha, Serikali imesema hadi sasa watumishi wa umma 25,039 wameshahamia huku taasisi zilizohamia zikiwa ni 65.Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu Bunge,…

Read More

Frateri wa Kanisa Katoliki Tanga adaiwa kujinyonga

Lushoto. Frateri wa Kanisa Katoliki Shirika la Roho Mtakatifu Jimboni Tanga, Rogassion Hugho, anadaiwa kujinyonga hadi kufa. Hili ni tukio la pili  kwa viongozi wa dini kudaiwa kujinyonga. Mei 16, 2024 mkoani Dodoma, Askofu Mkuu wa Makanisa ya Methodist, Joseph Bundala naye alidaiwa kujinyonga ndani ya ofisi yake iliyopo katika kanisa hilo eneo la Meriwa…

Read More

Serikali yaeleza inachofanya kupambana na kichaa cha mbwa

Dodoma. Serikali ikishauri wadau kutoa chanjo ya kichaa cha mbwa kupitia sekta binafsi, imetaja mikoa inayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wanyama hao. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti ametoa ushauri huo bungeni leo Mei 21, 2024 alipojibu maswali ya mbunge wa Viti Maalumu, Yustina Rahhi. Katika swali la nyongeza, mbunge huyo…

Read More

Watumishi 25,039, taasisi 65 wahamia Dodoma

Serikali imesema hadi sasa, jumla ya watumishi 25,039 kutoka Serikali kuu, Bunge, mahakama, vyombo vya ulinzi na usalama, pamoja na taasisi 65 wameshahamia Dodoma na wanaendelea kutekeleza majukumu yao wakiwa makao makuu ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hatua hiyo imekuja baada ya zoezi la kuhamisha makao makuu ya Serikali kutoka Dar es Salaam…

Read More