TMA yaeleza kinachoendelea kimbuka Ialy

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetabiri kimbunga “Ialy” kinapungua nguvu yake huku kikielekea kaskazini, mbali na pwani ya Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo jioni Jumatatu, Mei 20, 2024 na TMA kuonesha mwenendo wake imesema kimbunga hicho kinatarajiwa kuisha nguvu yake kabisa usiku wa kuamkia keshokutwa Jumatano, Mei 22,…

Read More

Serikali yawaondoa hofu Watanzania kuhusu soko la Kariakoo

Dodoma. Serikali imewaondoa hofu Watanzania kuwa Soko la Afrika Mashariki lilopo katika Jengo la China Plaza, Ubungo jijini, Dar es Salaam halitaua soko la Kariakoo. Hayo yamesemwa leo Jumatatu Mei 20, 2023 na Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji wakati wa semina ya wabunge katika ukumbi wa Pius Msekwa. Semina hiyo ilihusisha taasisi…

Read More

Maadhimisho ya Siku ya Vipimo Duniani, TBS yanena

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeungana na mataifa mengine duniani kufanya maadhimisho ya siku ya Vipimo ambayo hufanyika Mei 20 kila mwaka ambapo TBS imeitumia maadhimisho hayo kutoa elimu na hamasa kwa wadau wa vipimo kuhakiki vipimo kwa lengo la kumlinda mtumiaji. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 20,2024…

Read More

Ashikiliwa na polisi akidaiwa kuwachoma moto ndugu zake

Morogoro. Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro linamshikilia Paschal Elias (18) kwa tuhuma za kutaka kuwauwa ndugu zake watatu baada ya kuwamwagia kimiminika kinachodhaniwa kuwa cha mlipuko na kuwasababishia majeraha makubwa ikiwemo yeye mwenyewe. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Mei 20, 2024, Kamanda wa jeshi hilo mkoani Morogoro, Alex Mkama amesema tukio hilo lilitokea Mei…

Read More

EQUITY BANK YAZINDUA DIRISHA LA WANAWAKE- MWANAMKE PLUS

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV BENKI ya Equity imezindua Dirisha la Wanawake – Mwanamke Plus ambalo ni mpango maalum unaolenga kuwainua wanawake katika sekta ya biashara na uchumi ambapo natoa fursa za kipekee za mikopo, bima, mafunzo ya biashara, na huduma za ushauri, ikiwemo uwezeshaji wa kidigitali kupitia Equity Mobile na huduma za kibenki mtandaoni….

Read More