Sura tofauti INEC ikitoa magari kwa wagombea urais

Dar es Salaam. Hatua ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kutoa magari kwa wagombea wa nafasi ya urais 2025, wataalamu wa sheria wameibuka wakihoji ni sheria gani imetumika, tume yenyewe ikijibu hoja hiyo Japo wengine wamedokeza kwa kuwa magari hayo hayatampunguzia jambo lolote mgombea hakuna tatizo. Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu,…

Read More

Ombi jipya shauri la rasilimali za Chadema

Dar es Salaam. Walalamikaji katika kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameibua shauri dogo jipya, wakiiomba Mahakama iwaamuru walalamikiwa wawapatie nyaraka za chama hicho ili wazitumie kama ushahidi kuthibitisha madai yao. Kwa upande wao, walalamikiwa kupitia jopo la mawakili wameiomba Mahakama iwape muda wa siku saba…

Read More

RAIS MSTAAFU KIKWETE:WANAOSEMA UTARATIBU HAUKUFUATWA KUMPATA MGOMBEA URAIS CCM WANAJITOA UFAHAMU

Asema utaratibu uliotumika kumpata Dk.Samia kuwa mgombea Urais ndio huo huo uliotumika kwa wengine huko nyuma *Asema wanaosema utaratibu umekiukwa walikuwepo awamu zote lakini kwanini wanasema hayo leo *Asisitiza utaratibu wa Mkutano Mkuu uliofanyika Januari 18 na 19 uko sahihi na anauunga mkono  Na Said Mwishehe,Michuzi TV RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne,…

Read More

Bali kortin akidaiwa kughushi wosia, akana shtaka

Dar es Salaam. Mkazi wa Pangani mkoani Tanga, Hamisi Bali amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja ya kughushi wosia. Bali amesomewa shtaka hilo leo Agosti 28, 2025 na wakili wa Serikali, Tumaini Mafuru, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Hassan Makube Akimsomewa shtaka, wakili Mafuru amesema Bali anadaiwa kutenda kosa hilo Februari…

Read More

Fursa ya Beti za Bure kwenye Non-Stop Win&Go Drop

KWA wapenzi wote wa michezo ya kasino ya mtandaoni, hii ni habari inayopaswa kukuburudisha na kusisimua moyo wako kwani Meridianbet, kampuni namba moja ya kubashiri na kasino mtandaoni, imezindua promosheni kubwa ya Non-Stop Win&Go Drop, ikiwapa wateja wake nafasi ya kupata bonasi za beti za bure hadi 500 kila siku kwa hatua rahisi tu. Hii…

Read More

Meridianbet Kuitikisa Mitaa Na Mystery Multiplier

MERIDIANBET kwa mara nyingine tena imethibitisha kuwa si tu kinara wa michezo ya kubashiri, bali pia mbunifu mkuu wa promosheni zinazobadilisha tasnianzima ya michezo ya bahati nasibu. Safari hii, kampuni hiyo imezindua kampeni mpya kabambe, Mystery Multiplier Drop Campaign, ambayo tayari imeibua gumzo kubwa kwa mashabiki wa kasino mtandaoni. Kwa kawaida, promosheni nyingi huambatana na…

Read More

Bashiri na Ushinde na Meridianbet Sasa

ALHAMISI ya leo ni nzuri sana endapo ikisindikizwa na jamvi la uhakika ndani ya Meridianbet. Timu kibao za kufuzu Europa zipo uwanjani hapo baadae kuhakikisha zinapata pointi tatu na wewe ondoka na pesa leo kwa dau lako dogo tuu. Bashiri mechi ya Kuopion Palloseura dhidi ya FC Midtjylland ya kule Denmark ambao mechi ya mkondo…

Read More

Wanne wafariki dunia , 30 wajeruhiwa shambulio Ukraine

Kyiv. Shambulio limefanywa na Jeshi la Russia nchini Ukraine, limeuwa watu wanne wakiwemo watoto wawili na kujeruhi wengine 30. Shambulio kubwa la pamoja likihusisha ndege zisizo na rubani (drone) na makombora limetokea leo, Alhamisi ya Agosti 28, 2025, katika jiji la Kyiv. Shambulio hilo linatajwa kuwa la kwanza kubwa la aina hiyo tangu Rais wa…

Read More