Vikosi vya Urusi vyadai kutwaa udhibiti ngome ya Ukraine – DW – 20.05.2024

     Watu wawili wamekufa kufuatia shambulizi la Urusi katika miji ya Kherson na Zaporizhia iliyopo kusini mwa Ukraine. Urusi imeendeleza mashambulizi yake huku ikitangaza kuchukua udhibiti kamili katika eneo la Ukraine la Bilohorivka ingawa Ukraine inadai kwamba wanajeshi wake wapo katika hatua nzuri ya mapamabano katika maeneo hayo ya mpakani. Soma zaidi.Mashambulizi ya Urusi yawaua watu…

Read More

Vijana waaswa kushauri panapostahili sio kufanya uchawa

Dodoma. Changamoto za kiuchumi kwa vijana zimetajwa kuwa ni kikwazo kwa vijana wengi kushiriki kwenye chaguzi mbalimbali, huku wakitakiwa kushauri pale panapotakiwa badala ya kung’ang’ania uchawa (tabia ya kujipendekeza). Mbunge wa Viti Maalum, Nusrat Hanje ameyasema hayo leo Mei 24, wakati akizungumza kuhusu mdahalo wa vijana utafanyika Mei 25, 2025 unaolenga kuzungumzia miaka mitatu ya…

Read More

Utata kifo cha Rais wa Iran, waziri wake

Iran. Wakati Serikali ya Iran ikithibitisha kufariki dunia kwa Rais wa nchi hiyo, Ebrahim Raisi kwa ajali ya helkopta juzi, maswali yameibuka kuhusu kifo hicho. Raisi alikuwa pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Hossein Amir-Abdollahian ambaye pia amefariki dunia wakati walipokuwa wakirejea kutoka nchi jirani ya Azerbaijan kwenye hafla ya uzinduzi…

Read More

BALOZI NCHIMBI ATAKA MAOFISA UTUMISHI KUACHA UONEVU

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu za kazi kuwatendea haki wafanyakazi wote kwa kujiepusha na vitendo vyovyote vya uonevu. Akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wataalam wa Rasilimali Watu na Utawala Duniani, leo Jumatatu, Mei 20, 2024, ambayo kitaifa imefanyika mkoani…

Read More

Kuelekea kimbunga Ialy, wavuvi mkao wa kula, wengine wapuuzia

Tanga/Lindi. Wakati Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ikitahadharisha kuhusu kimbunga Ialy kinachotarajiwa kusababisha upepo mkali nchini kesho Jumanne, Mei 21, 2024, wananchi wanaofanya shughuli zao kwenye ukanda wa pwani wa Bahari ya Hindi wameeleza namna walivyojipanga huku wengine wakiendelea na shughuli zao kama kawaida. Juzi, TMA ilitabiri kimbunga hicho kilichopo umbali wa kilomita…

Read More

WAZIRI JAFO ASHIRIKI KILELE CHA SIKU YA NYUKI DUNIANI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. PhilipMpango na viongozi wengine akiwemo Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu waRais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo wakipiga makofi marabaada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete jijini Dodomaleo tarehe 20 Mei, 2024 kuongoza Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya…

Read More

Waziri aipongeza NBS kwa mafanikio

Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande amepongeza Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa utendaji mzuri unaochangia katika kukuza maendeleo ya Taifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma… (endelea). Chande ametoa pongezi leo tarehe 20 Mei 2024 jijini Dodoma wakati akifungua kikao kazi cha Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa…

Read More