
Balozi Kasike ateta na mjumbe wa FRELIMO
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji, Phaustine Kasike leo Jumatatu amekutana na Mjumbe wa Kamisheni ya Siasa ya Chama cha FRELIMO, Alcinda António de Abreu na kukubaliana kuendelea kuimarisha uhusiano kwa maslahi ya nchi zote mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kupitia mkutano huo uliofanyika kwenye Ofisi za Makao Makuu ya FRELIMO…