
Samatta abeba kombe Ugiriki – Mtanzania
Na Mwandishi Wetu Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars Mbwana Samatta ametwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Ugiriki akiwa na timu yake ya PAOK baada ya kuifunga Iris mabao 2-1 ugenini. Ikiwa ni msimu wake wa kwanza na timu hiyo aliyojiunga nayo akitokea Fenabahce ya Uturuki, amehusika katika mabao sita, akifunga mawili…