Mchakato mrefu unavyowakosesha bodaboda wengi leseni

Dar/mikoani. Mchakato mrefu wa upatikanaji wa leseni za udereva kwa madereva wa pikipiki na bajaji pamoja na tozo za Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra), vimetajwa kuwa chanzo cha uendeshaji holela wa vyombo hivyo. Hayo pia yanatajwa kuwa miongoni mwa sababu za madereva wengi wa pikipiki maarufu bodaboda kutokuwa na mafunzo wala leseni…

Read More

Jeshi la DR Congo lazima jaribio la mapinduzi

Kinshasa. Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuzuia jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Felix Tshikedi jijini Kinshansa. Taarifa hiyo iliyochapishwa katika tovuti ya BBC leo Jumapili Mei 19, 2024 imesema; “Msemaji wa jeshi la DR Congo, Brigedia Jenerali Sylavin Ekenge amesema kwenye kituo cha runinga cha Taifa, RTNC TV kwamba washukiwa kadhaa…

Read More

Jeshi la Kongo lazuia jaribio la mapinduzi – DW – 19.05.2024

Msemaji wa jeshi hilo Sylvain Ekenge ameyasema hayo katika hotuba yake kupitia televisheni ya taifa. “Jaribio la kuipindua serikali limezuiwa na vikosi vya ulinzi. Jaribio hilo limehusisha Wakongomani na wageni. Watu hao, akiwemo kiongozi wao, hawakupata nafasi ya kusababisha madhara,” ameeleza Sylvain Ekenge. Msemaji huyo wa jeshi hata hivyo hakuweka wazi iwapo watu hao wenye…

Read More

CCM yateua mgombea Kwahani, mrithi wa Jokate

Unguja. Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imemteua Khamis Yusuph Mussa kupeperusha bendera ya chama hicho katika kinyang’anyiro cha ubunge wa  Kwahani visiwani Zanzibar. Hatua hiyo imetokana na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kutangaza uchaguzi mdogo katika jimbo la hilo, baada ya aliyekuwa mbunge wake (CCM), Ahmada Yahya Shaa kufarini dunia Aprili…

Read More

Mtandao wa kuomba ajira Polisi walalamikiwa haufunguki

Dodoma. Wakati siku ya mwisho ya maombi ya kazi kwenye Jeshi la Polisi ni Jumanne ya Mei 21, 2024, waombaji wengi wamelalamikia mtandao wa jeshi hilo kutofunguka. Malalamiko hayo yametolewa na watu mbalimbali huku wengine wakishauri jeshi hilo liruhusu barua za maombi zipelekwe kwa mkono kwa makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya. Malalamiko ya…

Read More