
Canada yatenga bilioni 38 kutekeleza mradi ya kuinua vijana TZ
SERIKALI ya Canada kupitia ‘CARE International Canada’ imetenga takribani Sh 38 bilioni zitakazotekeleza Mradi wa “Her Resilience, Our Planet Project” ambao unalenga kuongeza ushiriki wa vijana na wanawake katika shughuli za kiuchumi.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani …(endelea). Pia unalenga kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kupitia teknolojia za kibunifu na kanuni za kilimo endelevu….