Muda wa Kushinda na Meridianbet ni Sasa

JE unajua kuwa muda wako wa kushinda pesa na Meridianbet umefika?. Mechi zote ambazo wewe unazitaka zipo huku kwa dau lako dogo tuuh unajiweka kwenye nafasi ya ushindi. Ligi kuu ya Hispania, LALIGA itaendelea kwa michezo kadhaa ambapo Levante atamualika kwake Girona ambapo tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 9. Mwenyeji yupo nafasi…

Read More

NAIBU WAZIRI SALOME AIBANA KAMPUNI YA DONGFANG KWA KASI ISIYORIDHISHA MRADI WA UMEME MALAGARASI

::::::::: Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba leo amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katika Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ambapo ameeleza kutoridhishwa kwake na kasi ya utekelezaji. Akiwa katika Kijiji cha Mazungwe wilayani Uvinza Mhe Salome amekagua sehemu mbalimbali za mradi ikiwemo ujenzi wa tuta na uchepushaji mto,…

Read More

SADC YAHIMIZA MTANGAMANO WENYE MATOKEO CHANYA KATIKA KIKANDA

:::::::::: Mkutano wa Kamati ya Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 07, 2026, chini ya Uenyekiti wa Balozi Tebogo Seokolo ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano ya Afrika Kusini.  Katika hotuba ya ufunguzi Balozi Seokolo alihimiza Nchi Wanachama…

Read More

BALOZI MULAMULA ASHEREKEA MAFANIKIO YA WANAWAKE AFRIKA, AKEMEA UKATILI WA KIJINSIA

KUELEKEA kilelele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika kesho Machi 8, 2026, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Afrika kuhusu masuala ya Wanawake Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula amesema anafurahishwa na mafanikio yaliyofikiwa kwa wanawake wa Afrika ikiwemo kushika nafasi za juu za uongozi yaani Urais. Pia, ameguswa na kukemea vitendo vya unyanyasaji…

Read More

TAMWA Yakumbusha Historia ya Mapambano Dhidi ya Dhuluma kwa Wanawake na Watoto

Mwasisi wa Chama Cha Wanahabari Wanawake Tanzania(TAMWA),Fatma Aloo akizungumza wakati wa Iftari iliyofanyika katika Ofisi za TAMWA jijini Dar es Salkaam kwa kuunganisha Waandishi wa habari wakongwe na wakati na wasasa. Iftaru hiyo imefanyika Machi 06, 2026. CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Tanzania Media Women’s Association (TAMWA), kimesisitiza umuhimu wa kuendeleza harakati za…

Read More