
MSOMERA WANAPIKA KISASA – Mzalendo
Upishi wa kutumia kuni na mkaa kwa wakazi wa kijiji cha Msomera, wilayani Handeni Mkoa wa Tanga unakuwa ni historia mara baada ya wakazi hao kupatiwa majiko banifu na mitungi ya gesi ya kupikia. Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi majiko hayo katika Kijiji hicho jana Mei 17, Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema…