Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

WAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na rasilimali zao licha ya uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Mawakili kumpa onyo juu ya kutokana na malalamiko ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Eliezer Feleshi kuwa alitoa kauli za kichochezi, zisizo na staha na zisizozingatia taaluma ya uwakili. Anaripoti Faki Sosi… (endelea). Mwabukusi amepewa…

Read More

Wanariadha wa Olimpiki wang’ara Africa Day Marathon

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Wanariadha wa maarufu Tanzania na wale walifuzu kushiriki michezo ya Olimpiki, wameng’ara na kubeba katika mbio za Africa Day Marathon zilizofanyika leo Mei 18, 2024 jijini Dar es Salaam. Wanariadha hao ni Alphonce Simbu (JWTZ)aliyebuka mshindi wa kwanza katika mbio za kilomita 15, akikimbia kwa dakika 42:56, wa pili ni…

Read More

Wagombea Chadema waanza kusaka kura

Dar es Salaam. Siku moja baada Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuteua majina ya watakaowania uongozi katika kanda nne kwenye uchaguzi utakaofanyika Mei 29, 2024 baadhi ya wagombea wamefunguka walivyojipanga kusaka kura, huku wengine wakianza kampeni kupitia mitandao ya kijamii. Jana Ijumaa Mei 17, 2024 Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo…

Read More

MAHAKAMA YA RUFAA YAFUTA HUKUMU YA MIKOPO CHECHEFU

  Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA ya Rufaa imetengua hukumu iliyotolewa na Mahakama kuu divisheni ya biashara katika moja ya kesi maarufu za mikopo chechefu baina ya kampuni ya State Oil dhidi ya Benki ya Equity kesi ambayo Mahakama Kuu hiyo chini ya Jaji Magoiga iliipa ushindi kampuni ya husika ambayo ilikopa dola milioni 18 (zaidi…

Read More