
Lissu akabidhiwa gari lake, aomba msaada wa matengenezo
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu leo Ijumaa amekabidhiwa gari lake aina ya Toyota Land Cruiser V8, VXR na Jeshi la Polisi mkoani Dodoma na kuwaomba Watanzania wamsaidie kulitengeneza kisha lifanye kazi za siasa. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Lissu amekabidhiwa gari hilo lililokuwa limehifadhiwa katika Kituo cha Polisi Dodoma tangu aliposhambuliwa kwa risasi tarehe…