Sendiga akemea watoto kunyimwa fursa ya elimu

Simanjiro. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amekemea kitendo cha wazazi na walezi wanaowazuia watoto wao wa kiume kwenda shule, badala yake kuwageuza wachungaji wa mifugo.  Amesema nyakati hizi si za wazazi kupuuzia elimu kwa watoto wao badala yake wawe mstari wa mbele kuwahimiza kuipenda. Sendiga amesema hata watoto wa kike nao  wananyimwa fursa…

Read More

RC Mrindoko acharuka fedha za makandarasi

Katavi. Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri zote tano kulipa madeni wanayodaiwa na makandarasa wanaotekeleza miradi ya maendeleo katika halmashauri zao. Kauli hiyo ameitoa leo Ijumaa Mei 17, 2024  wakati akisikiliza kero za wananchi baada ya kupokea malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wakidai kutolipwa fedha kutokana na kazi walizofanya kwenye…

Read More

Ethiopia yafungua njia ujenzi wa ubalozi Dodoma

Serikali ya Tanzania imeipongeza Serikali ya Ethiopia kwa kuweka historia kwa kuwa nchi ya kwanza kujenga majengo ya Ofisi na Makazi ya Balozi katika Mji wa Serikali Dodoma na kutoa wito kwa nchi nyingine kuiga mfano huo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa…

Read More

TANZANIA KUWA MWENYEJI KILELE CHA SHINDANO LA KWANZA LA VIJANA AFRIKA KWENYE MASUALA YA AKILI MNEMBE NA ROBOTI.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Tanzania kuwa mwenyeji wa kilele cha shindano la kwanza la vijana la afrika kwenye masuala ya akili mnembe na roboti(The african Youth in Artificial Intelligence and Robotics Competition). Hayo ameyaeleza Jijini Dodoma leo na Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mohammed Khamis Abdula alipokuwa akizungumza na waandishi…

Read More

NBC yazindua bima ya afya kwa wakulima

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Assemble Insurance imezindua huduma ya Bima ya Afya kwa wakulima nchi nzima ikilenga kurahisisha upatikanaji wa huduma hiyo muhimu kwa kundi hilo.Hatua hiyo inatajwa kuwa itasaidia kuimarisha sekta ya afya ambayo ni moja ya nguzo muhimu katika ukuaji wa kilimo nchini. Anaripoti…

Read More