Makamba awasili China kwa ziara ya kikazi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba leo tarehe 16 Mei 2024 amewasili nchini China kuanza ziara ya kikazi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Ziara hii mbali na kudumisha ushirikiano wa kidiplomasia wa kihistoria uliopo baina ya mataifa haya mawili ni muendelezo wa utekelezaji wa Diplomasia ya Uchumi ikilenga kufuatilia…

Read More

Total Energies yawekeza bilioni 17 kusambaza gesi ya kupikia

ILI kurahisisha upatikanaji wa gesi ya kupikia kwa gharama nafuu kwa Watanzania, Kampuni ya Total Energies Tanzania imewekeza kiasi cha dola za Marekani milioni saba (Sh 17 bilioni) katika kusambaza nishati hiyo safi ya kupikia kwenye maeneo mbalimbali ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa leo Ijumaa na Mkurugenzi wa Sheria, Uhusiano na…

Read More

Majaliwa: Michezo ni nyenzo muhimu inayodumisha amani

Na Mwandishi Wetu,Mtanzania Digital WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ushirikiano katika michezo ni nyenzo muhimu katika kudumisha diplomasia na amani miongoni mwa nchi washirika wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM). Amesema hayo leo (Ijumaa, Mei 17, 2024) wakati akifunga Mkutano wa 79 wa Baraza hilo. Mkutano huo umefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa…

Read More

Kenya yakabiliwa na kiunzi kupeleka polisi Haiti – DW – 17.05.2024

Chama cha kisiasa cha Muungano wa Thirdway Alliance Kenya na wanachama wake wawili waliwasilisha malalamishi hayo siku ya Alhamisi (16.05.2024) , wakisema kwamba serikali imepuuza amri ya mahakama iliyotolewa mwezi Januari. Mahakama ilisema hatua ya kupelekwa polisi wa Kenya nchini Haiti inakiuka katiba na ni kinyume cha sheria. Waliowasilisha hoja hiyo mahakamani hapo Alhamisi, wamesema…

Read More

Utalii wa Zanzibar waongeza watalii Hifadhi ya Mikumi

Morogoro. Kukua kwa sekta ya utalii Zanzibar, imekuwa neema kwa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi baada ya kuongezeka kwa idadi kubwa ya watalii katika hifadhi hiyo iliyopo Kusini mwa Tanzania. Hiyo imebainika baada ya watalii wengi wa kimataifa wanaotembelea Mikumi iliyoko mkoani Morogoro, kutokea visiwani humo. Watalii hao ambao hufika kutembelea Visiwa vya Zanzibar, huunganisha…

Read More

MAMBO MAPYA UBORESHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA

  Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K akifanya mahojiano kwenye kipindi cha Jambo kinachorushwa na TBC1 jijini Dar es Salaam leo tarehe 17 Mei, 2024 Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K akifafanua jambo wakati wa mahojiano kwenye kipindi cha…

Read More