VIDEO: Moto wateketeza nyumba ya vyumba 12 Moshi

Moshi. Moto  ambao chanzo chake bado hakijajulikana, umeteketeza nyumba ya biashara yenye vyumba zaidi ya 12, baa na jiko. Nyumba hiyo ambayo ipo katikati ya Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, ilianza kuwaka moto saa 10 alfajiri ya kuamkia leo Ijumaa Mei 17, 2024. Hata hivyo, baadhi ya mashuhuda wameiambia Mwananchi Digital kuwa moto huo ungeweza…

Read More

Aliyekata rufaa kesi ya ubakaji mtoto,  kufia gerezani

Kilimanjaro. Wahenga waliwahi kusema mtaka nyingi nasaba, hupata mingi misiba, ndiyo ujumbe unaoendana na kilichomkuta Emmanuel Steven baada ya Mahakama ya Rufani kuikataa rufaa yake na kubariki kifungo cha maisha jela alichohukumiwa kwa kumbaka mtoto wa miaka sita. Mbali na Jopo la majaji watatu wa mahakama hiyo, Shaban Lila, Lugano Mwandambo na Lucia Kairo kubariki…

Read More

Chumvi inavyochochea shinikizo la juu la damu

Dar es Salaam. Iwapo unataka kuepuka shinikizo la juu la damu na maradhi yanayoambatana na ugonjwa huo, wataalamu wameeleza mambo matano mtu unayopaswa kuyafuata kuepuka tatizo hilo wanalolitaja ni ‘muuaji msiri.’ Mambo ya kuzingatia ni ulaji wa chumvi iliyopikwa pamoja na kupunguza matumizi makubwa ya bidhaa hiyo. Mwili wa binadamu unahitaji chumvi, kutokana na bidhaa…

Read More

Athari kwa mtoto aliyeachishwa ziwa ghafla

Dodoma. Suala la kuachisha mtoto kunyonya maziwa ya mama linahitaji maandalizi ya kutosha, ili hata anapoachishwa aendelee kuwa na afya nzuri. Hali ilikuwa tofauti kwa Milka Chedego, aliyemwachisha mwanaye wa umri wa mwaka mmoja na miezi sita ghafla, bila maandalizi yoyote, hali iliyosababisha utapiamlo kwa mtoto. Milka anasema hali hiyo ilimgharimu fedha nyingi na muda,…

Read More