Ukweli kuhusu gesi kupoteza ladha ya chakula

Dar es Salaam. Katika jitihada za nchi kuachana na matumizi ya nishati chafu kama kuni na mkaa, mjadala unaibuka mitaani kuhusu matumizi ya gesi ya kupikia na athari zake kwenye ladha ya vyakula. Wapo wanaodai kuwa vyakula vinavyopikwa kwa kutumia gesi ukiwamo wali, havina ladha ikilinganishwa na unaopikwa kwa kutumia kuni au mkaa. Lakini je,…

Read More

TANGANYIKA PACKERS CCM NI FULL HOUSE, SALUTE KWA DK. SAMIA

Said Mwishehe,Michuzi TV  NI maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiwemo wanachama wa CCM,wakereketwa na wapenzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza katika Viwanja vya Tanganyika Packers kushuhudia uzinduzi rasmi wa kampeni za Chama hicho tawala. Katıka viwanja hivyo ambavyo uzinduzi huo wa kampeni za CCM zinafanyika, kuna mabango mengi yenye ujumbe …

Read More

Kilosa yataja mikakati matumizi ya nishati safi ya kupikia, mikakati zaidi inakuja Morogoro

Morogoro. Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro ni miongoni mwa maeneo yanayokabiliwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaochochewa na biashara ya kuni na mkaa. Nishati hii, inayotumika kwa wingi katika kupikia, husafirishwa kutoka Kilosa kwenda kuuzwa kwenye miji na majiji mbalimbali nchini. Agosti 6 mwaka huu, mwandishi wa makala haya alizungumza na Mkuu wa Wilaya ya…

Read More

Wasafirishaji abiria wafurahia neema ya kampeni za CCM

Dar es Salaam. Ufunguzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) unaofanyika leo Alhamisi Agosti 28, 2025 katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam, umegeuka fursa ya kiuchumi kwa wasafirishaji wa abiria wa ndani. Madereva wa daladala, bodaboda na bajaj wameelezea kufurahia neema ya kipato baada ya vyombo vyao vya usafiri kukodiwa…

Read More

VYAMA 17 VYAREJESHA FOMU ZA KUTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI

 Na Mwandishi Wetu. VYAMA 17 vyama vilivyochukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Kigamboni vimerejesha fomu hizo na tayari zimebandikwa ili ziweze kukaguliwa na kama kutakuwa na upungufu wagombea wanaweza kuwekewa pingamizi. Aidha, wagombea wote wameteuliwa kugombea nafasi hiyo kwa hatua ya kuanza kampeni, kama hakutakuwa na pingamizi kwa wagombea yeyote…

Read More