Dk Bagonza ataja kasoro za demokrasia

Unguja. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amezitaja kasoro 10 za mfumo wa kidemokrasia nchini,  huku akisema kukosekana kwa demokrasia ni hatari kwa Taifa na mtu mmoja mmoja.  Mbali na kasoro hizo, kiongozi huyo wa kiroho amesema licha ya nia njema ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengeneza…

Read More

Aliyempiga risasi Waziri Mkuu Slovakia apandishwa kizimbani

Bratislava. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Slovakia, Matus Sutaj Estok amesema mtuhumiwa aliyekamatwa kwa kumpiga risasi Waziri Mkuu Robert Fico ameshtakiwa kwa jaribio la mauaji. “Polisi wanafanya kazi, mtuhumiwa anashtakiwa kwa jaribio la kuua kwa kukusudia,” Estok amewaambia waandishi wa habari alipozungumzia shambulio lililochochewa kisiasa. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la AFP, Waziri…

Read More

REA YATOA ELIMU MATUMIZI MAJIKO BANIFU MSOMERA

Mhandisi Mwandamizi kutoka Kitengo cha Nishati Jadidifu na Teknolojia Mbadala cha Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Deusdedit Malulu akitoa elimu juu ya matumizi ya majiko banifu kwa Wanakijiji wa Kijiji cha Msomera, Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga, leo Mei 16. Wizara ya Nishati kwa kushirikiana na REA pamoja na Taifa Gas wanatarajiwa kutoa majiko banifu…

Read More

Matumizi bora ya ardhi kuondoa migongano ya binadamu, wanyamapori

Dar es Salaam. Suala la mipango ya matumizi bora ya ardhi, limetajwa kuwa suluhisho la changamoto zinazosababisha migongano kati ya wanyamapori na binadamu vijijini na kusababisha ugumu wa pande hizo mbili kuishi pamoja. Hayo yamebainishwa leo Mei 16, 2024 wakati wa majadiliano yaliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za mazingira Tanzania (JET) wanaotekeleza mradi…

Read More

TTCL YAUNGANISHA ZAIDI YA WILAYA 92 KATIKA MKONGO WA TAIFA.

Na Mwandishi Wetu Dodoma   Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb), leo Mei 16, 2024 ametembelea Banda la Maonesho la Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL wakati Shirika hilo liliposhiriki maonesho ya Taasisi, Kampuni na Mashirika yaliyo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari katika Viwanja vya…

Read More

Dk Mpango ataja mchango wa Askofu Ruwa’ichi nchini

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema Serikali inatambua thamani ya utumishi wa Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Jude Thaddaeus Ruwa’ichi katika kipindi cha miaka 25 alichotumikia utume wake nchini. Akizungumza leo Mei 16, 2024 akimwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kwenye adhimisho la misa ya jubilei…

Read More