‘WANANCHI ACHENI KUNUNUA DAWA ZINAZOTEMBEZWA MIKONONI,KATIKA MABASI KWANI NI HATARI KWA AFYA’

Na Said Mwishehe, Michuzi TV-Iringa MKUU wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewataka wananchi waaache mara moja kununua dawa zinazotembezwa mikononi ikiwa ni pamoja na katika vyombo vya usafiri(mabasi) kinyume cha sheria kwani mara zote dawa hizo huwa ni duni na bandia. Pia amesema Serikali haitamwonea huruma mtu yeyote atakayepatikana na dawa bandia kwa kigezo…

Read More

‘Tahadharini na dawa zinazotembezwa mitaani’

Iringa. Wananchi wametahadharishwa kununua dawa za binadamu zinazouzwa kwenye vyombo vya usafiri na zile zinazotembezwa barabarani kwa kuwa ni duni na huleta madhara kwa mtumiaji. Mara kadhaa dawa hizo zimekuwa zikiuzwa katika mabasi ya mikoani na hata daladala kwa madai kuwa zinatibu magonjwa mbalimbali. Tahadhari hiyo imetolewa leo Alhamisi Mei 16, 2024 na Mkuu wa…

Read More

Mwalimu Yufresh apatiwa mguu wa bandia

Dar es Salaam. Siku kadhaa baada ya gazeti la Mwananchi na majukwaa yake ya kidijitali kuchapisha taarifa kuhusu Yusuph Ibrahim, mwalimu mwenye ulemavu anayeomba msaada wa kupatiwa mguu bandia, wadau waanza kujitokeza kumshika mkono mwalimu huyo. Yusuph anayefahamika mitandaoni kama Yufresh amejizolea umaarufu mkubwa kutokana na aina yake ya ufundishaji inayohusisha nyimbo na michezo ya…

Read More

TANZANIA IMEPIGA HATUA KWENYE MAWASILIANO – MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazopiga hatua kubwa kwenye sekta ya mawasiliano na teknolojia ya habari. Amesema kuwa mipango na mikakati iliyowekwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano inakua, imeonesha kuleta matokeo chanya katika maendeleo ya Taifa. “Ninatoa pongezi kwa…

Read More

NEMC yatoa siku 90 vituo afya kuwa na maeneo ya kuteketeza taka

Dar es Salaam. Siku 90 zimetolewa kwa vituo vya kutolea huduma za afya ikiwemo zahanati kuhakikisha vinakuwa na sehemu maalumu za kuchomea taka hatarishi, watakaokiuka hilo wanaweza kusitishiwa utoaji huduma. Wasiokuwa na maeneo hayo wametakiwa kuhakikisha taka zao zinakusanywa na makandarasi waliosajiliwa kufanya kazi hiyo na si wanaozoa taka majumbani. Agizo hilo limetolewa na Baraza…

Read More