Watembea zaidi ya kilomita 10 kutafuta huduma za afya

Serengeti. Wakazi wa Kijiji cha Kenyamonta kilichopo Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, wanalazimika kutembea zaidi ya kilomita 10 kufuata huduma ya afya katika kijiji jirani cha Iramba kutokana na kijiji chao kutokuwa na kituo cha afya. Kutokana na hali hiyo, wakazi hao wamekuwa wakikumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo vifo vya mama na watoto pamoja na…

Read More

Wanafunzi 194 Momba wapewa mimba ndani ya mwezi mmoja

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo ameagiza kukamatwa ndani ya siku 21 kwa wanaume waliohusika kuwapa mimba wanafunzi 194 wa shule za msingi na sekondari katika Wilaya ya Momba mkoani Songwe na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.  Chongolo ameyasema hayo leo Mei 16, 2024 wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani humo akikagua…

Read More

Makamba awasili China kutekeleza makubaliano ya Rais Samia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba (Mb.) leo tarehe 16 Mei 2024 amewasili nchini China kuanza ziara ya kikazi.  Ziara hii mbali na kudumisha ushirikiano wa kidiplomasia wa kihistoria uliopo baina ya mataifa haya mawili ni muendelezo wa utekelezaji wa Diplomasia ya Uchumi ikilenga kufuatilia utekelezaji wa makubaliano…

Read More

Rais wa Urusi afanya ziara nchini China – DW – 16.05.2024

Wakati wa ziara ya Putin nchini China, Xi amemuhakikishia kiongozi huyo wa Urusi kuhusu ushirikiano wa karibu. Vyombo vya habari nchiniChina, vimeripoti kuwa Xi amemwambia Putin kwamba kuimarika kwa uhusiano kati ya mataifa hayo mawili kunachangia katika amani, utulivu na ustawi wa kanda hiyo pamoja na ulimwengu kwa ujumla. Xi asema mahusiano kati ya China…

Read More

Dk Mwigulu: Jadilini sheria zinapotungwa, sio zinapotekelezwa

Dodoma. Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kujenga utaratibu wa kujadili sheria zinapotungwa na si zinapotekelezwa. Amesema hayo leo Mei 16, 2024 akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Mbozi, George Mwenisongole, aliyehoji iwapo Serikali haioni haja ya kuondoa mashine za kieletroniki (EFD) kwa vyama vya ushirika nchini vinavyouza kwa mwaka mara moja….

Read More

SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA MASHINE ZA EFD

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa taratibu za kikodi zimebainisha kwamba, mfanyabiashara yeyote mwenye mauzo ghafi yenye kiasi cha shilingi milioni kumi na moja (TZS 11,000,000) na kuendelea kwa mwaka, anapaswa kutumia mashine za kutoa risiti za kielekroniki (EFD) kwa walipakodi wote wanaofanya biashara mara nyingi au mara moja kwa mwaka. Hayo yameelezwa…

Read More

Ukisambaza picha za ajali Mbeya kukiona cha moto

Mbeya. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya, linakusudia kutumia sheria dhidi ya wananchi wanaokimbilia kupiga picha za matukio ya ajali na kusambaza kwenye mitandao ya kijamii, jambo linalozua taharuki katika jamii. Hatua hiyo imekuja kufuatia tabia ya baadhi ya wananchi kuanza kupiga picha na kuzisambaza mitandaoni pindi ajali zinapotokea, badala ya kusaidia uokoaji…

Read More