HATIFUNGANI YA KIJANI YA MAMLAKA YA MAJI TANGA YAFANIKIWA KUKUSANYA 103% YA MAUZO YALIYOTARAJIWA.

Hatifungani ya kijani ya Mamlaka ya Maji Tanga ambayo ni ya Kwanza kuwahi kutokea Afrika Mashariki imefanikiwa kukusanya asilimia 103% ya mauzo yaliyotarajiwa. Hatifungani hiyo yenye thamani ya shilingi Bilioni 53.12 ilianza kuuzwa tarehe 22, Februari 2024 na kufanikiwa kuorodheshwa kwenye soko la hisa Dar es salaam (DSE) leo tarehe 15 Mei,2024 Hatifungani hiyo yenye…

Read More

Katekista ajiua kwa kunywa sumu baada ya mawazo yaliyotokana na mfadhili wake kufariki

Anthony Mgaya (50) aliyekuwa Katekista wa Kigango cha Moronga kata ya Kipengere wilayani Wanging’ombe amefariki dunia akidaiwa kunywa sumu kutokana na msongo wa mawazo wa muda mrefu uliotokana na kifo cha mfadhili wake ambaye alikuwa wilayani humo aliyefariki takribani miaka miwili iliyopita. Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Mahamoud Banga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo…

Read More

Mwakatundu akamatwa akiwa na Milioni 29,374,000 ‘Guest’

Say Raymond Mwakatundu (31) mkazi wa jijini Dar es Salaam amekamatwa na Polisi mkoani Njombe akiwa na fedha kiasi cha Milioni 29,374,000 katika nyumba ya kulala wageni (Guest) mjini Makambako fedha ambayo inadaiwa ameipata kwa njia ya wizi. Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Mahamoud Banga amesema walimkamata Mwakatundu wakiwa wanafanya upekuzi wa kawaida katika…

Read More

TAASISI ZA FEDHA ZAKOPESHA TRILIONI 33

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2023, mikopo yenye jumla ya shilingi trilioni 33.2 imetolewa na Benki na taasisi za fedha ambazo hutoa mikopo yenye dhamana inayotosheleza (fully secured), yenye dhamana inayotosheleza sehemu tu ya mkopo(partially secured) na isiyo na dhamana (unsecured). Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na…

Read More

WAZAZI LINDI WAPEWA SALAMU KUEPUKA MIGOGORO INAYOATHIRI MALEZI YA WATOTO NDANI YA FAMILIA

Na,Elizaberth Msagula,Lindi Jamii  Mkoani Lindi wametakiwa kuitumia vyema mifumo iliyowekwa na Serikali katika kushughulikia migogoro na tofauti zinazojitokeza na kushindikana kwenye familia ambayo kwa kiasi kikubwa inatajwa kuchangia wazazi kuachana na kusababisha watoto kuathiriwa na hivyo kukosa malezi imara. Mifumo hiyo ni pamoja na madawati ya jinsia na Ofisi  za ustawi wa jamii zilizopo kwenye…

Read More