Simbu kuungana na mabalozi mbio za African Day Marathon

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mwanariadha Felix Simbu atakuwa miongoni mwa washiriki wa mbio za maadhimisho ya Siku ya Afrika ‘African Day Marathon’, akiungana na mabalozi mbalimbali wa Afrika wanaowakilisha nchi zao hapa nchini. Mbio hizo zilizoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Umoja wa Mabalozi nchini (ADG), zinatarajia kufanyika…

Read More

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA UNHCR NA UNEP

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Nchni (UNHCR) Bi. Mahoua Parum’s pamoja na Mwakilishi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) Bi. Clara Makenya Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 15 Mei…

Read More

Majeruhi wanne ajali iliyoua Saba morogoro waruhusiwa kutoka hospitali

Majeruhi wanne kati ya watano waliokuwa wanatibiwa katika hospitali ya Wilaya Mvomero waliotokana na ajali iliyoua watu saba wameruhusiwa kutoka hospitali huku mmoja akipelekwa hospitali ya Rufaa Mkoa Morogoro kwa matibabu zaidi. Akizungumza na ayo tvna Millard ayo .com Mganga mfawidhi hospitali ya Wilaya Mvomero Dokta Frances Paul amesema majeruhi hao wanne walitibiwa na kuruhusiwa…

Read More

Atupwa jela miezi sita kwa kufunga ofisi za kijiji

Simanjiro. Mkazi wa Kijiji cha Okutu Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Melkzedek Moikani (33) amehukumiwa kwenda jela miezi sita kwa kosa la kufanya fujo na kufunga ofisi ya kijiji kwa kufuli. Imeelezwa kuwa kitendo hicho kilizua hofu kwa wananchi waliofuata huduma katika ofisi hiyo, lakini pia kilikwamisha shughuli za maendeleo. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatano Mei…

Read More

Taasisi za serikali zatakiwa kuanzisha hatifungani

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa Taasisi za Serikali kutumia njia mbalimbali bunifu ikiwa ni pamoja na kuanzisha hatifungani ya kupata fedha ili ziweze kugharamia miradi ya maendeleo kwa njia mbadala (APF) na kupunguza utegemezi kutoka Mfuko Mkuu wa Serikali. Bashungwa ametoa wito huo Mei 15, 2024 jijini Dodoma kwa niaba ya Waziri…

Read More

THE DESK & CHAIR YAWATUA NDOO KICHWANI AKINAMAMA KITONGOSIMA KWA MILIONI 20

NA BALTAZAR MASHAKA,MAGU TAASISI ya The Desk & Chair Foundation,imekamilisha na kukabidhi mradi mkubwa wa kisima cha maji katika Kijiji cha Kitongosima wilayani Magu,utakaohudumia zaidi ya wananchi 2,000 wa kijiji hicho na wanafunzi 840 wa Shule ya Msingi Simakitongo. Pia mradi huo uliogharimu sh.milioni 20,utawanufaisha watumishi na watoto 75 wenye migongo wazi na vichwa vikubwa…

Read More