Dkt.Biteko ateta na balozi wa Marekani nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa Marekani hapa nchini Dkt. Michael Battle Sr. kuhusu masuala mbalimbali ya maendeleo ikiwamo matumizi ya vyanzo mbalimbali vya nishati ya umeme Mazungumzo hayo yamefanyika Mei 14, 2024 katika Ofisi ndogo za Wizara, Jijini Dar es Salaam, ambapo viongozi…

Read More

HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAHITAJI MADAWATI 7,000 KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI- DED SELENDA

HALMASHAURI ya wilaya ya Bagamoyo, Mkoani Pwani inakabiliwa na changamoto ya upungufu wa madawati 7,000 katika shule za msingi na sekondari. Kutokana na mahitaji ya madawati hayo inahitajika kiasi cha sh.milioni 350 ili kuondokana na tatizo hilo. Akitoa ufafanuzi huo katika baraza la madiwani, utekelezaji wa kata kwa kata kipindi cha miezi mitatu January hadi…

Read More

Usafiri wa anga ni kichocheo cha ukuaji uchumi-DK.Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema sekta ya utalii ina mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia usafiri wa anga ambao ni kichochea kikuu cha ukuaji wa uchumi. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipofungua Kongamano la sita la usafiri wa anga Jumuiya ya Afrika Mashariki katika Hoteli…

Read More

Mapigano ya vijiji jirani Mara yamkera RC Mtambi

Serengeti. Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi amemwagiza Kamanda wa Polisi Mkoa huo kuwakamata watu wote waliohusika kwenye tukio lililosababisha watu wanne kujeruhiwa na nyumba kadhaa kubomolewa na zingine kuchomwa moto katika Kijiji cha Mekomariro Wilaya ya Bunda na Remng’orori wilayani Serengeti. Tukio hilo lilitokea Mei 12, 2024 asubuhi baada ya watu wanaodaiwa kutoka…

Read More

MBINGA VIJIJINI TUTAENDELEA KUTENGA FEDHA KUTEKELEZA MIRADI YENYE TIJA KWA WANANCHI – HAULE

Na Stephano Mango, Mbinga MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Desderius Haule amebainisha kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga itaendelea kutenga fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya ukamilishaji na utekelezaji wa miradi mipya itayokwenda kuleta tija kwa wananchi. Haule amebainisha jana akijibu swali la Diwani wa Viti maalum Kata ya Kihangimahuka Leonora…

Read More

Dola bilioni 2.2 zaahidiwa kwa ajili ya nishati safi Afrika – DW – 15.05.2024

Shirika la kimataifa la Nishati IEA limetangaza kuwa dola bilioni 2.2 za kimarekani zimeahidiwa na makampuni na serikali ili kuboresha upatikanaji wa nishati safi na salama barani Afrika. Taarifa hiyo imetolewa baada ya kumalizika kwa mkutano wa kilele uliowakutanisha pamoja viongozi wa mataifa 60 mjini Paris, Ufaransa. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alikuwa miongoni mwa…

Read More

Vodacom kurejesha vifurushi kwa walioshindwa kuvitumia

Dar es Salaam. Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania PLC imeutangazia umma na wateja wake kurejesha huduma za kimtandao kikamilifu, ikieleza walioshindwa kutumia huduma ya intaneti watarejeshewa vifurushi vyao.  Kwa muda wa siku nne mfululizo nchini watumiaji wa huduma za mtandao walipata changamoto kutokana na kupungua ubora wa intaneti kulikosababishwa na kukatika nyaya za mkongo …

Read More