
NDEJEMBI ATOA ONYO KWA WAAJIRI WASIOWASILISHA MICHANGO YA WAFANYAKAZI WAO NSSF
*Asema hawatavumiliwa tena, apongeza kazi kubwa inayofanywa na NSSF miaka mitatu ya Serikali ya awamu ya sita Na MWANDISHI WETU Dar es Salaam. Serikali imesema haitawavumilia waajiri wote wa sekta binafsi ambao wanakata michango ya wafanyakazi wao bila kuiwasilisha katika Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwani hilo ni kosa kwa mujibu wa…