Wavuvi walalama kufungwa Ziwa Tanganyika

Mwanza. Baadhi ya wavuvi wa mikoa ya Rukwa, Kigoma na Katavi inayozungukwa na Ziwa Tanganyika wamesema hawajui hatima yao wakati ziwa hilo likifungwa. Imeelezwa kuwa ziwa linafungwa leo na litafunguliwa Mei 15, 2024 ili kupisha uzalishaji wa mazalia ya samaki. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akizungumza na Mwananchi leo amesema  kufungwa kwa ziwa…

Read More

Shahidi aeleza jinsi mshtakiwa alivyowasilisha hati feki

Dar es Salaam. Aliyekuwa Msajili wa Ardhi Msaidizi, kutoka Wizara ya Ardhi mkoani Kilimanjaro, Emmanuel Bundala (41) ameileza Mahakama jinsi alivyofanya uchunguzi wa hati ya umiliki wa ardhi na kubaini mmiliki halisi alikuwa ni Stella Mwasha na siyo Rajesh Kumar. Bundala ameeleza hayo leo Jumanne, Mei 14, 2024 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini…

Read More

Ulega aeleza wizara yake ivyombadilisha Mnyeti

Dodoma. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumpeleka katika wizara hiyo kwa sababu miaka miwili iliyopita ustaarabu ulikuwa ni mdogo kwake. Hayo yamesemwa leo jioni Jumanne, Machi 14, 2024 na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega wakati akihitimisha hoja ya bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka…

Read More

India yaonesha nia duru ya tano ya kunadi vitalu

Ubalozi wa India Nchini Tanzania umekutana na kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa lengo la kupata taarifa zaidi kuhusu zoezi la kunadi vitalu vya utafutaji wa mafuta na gesi asilia linalotarajiwa kufanyika Tanzania Bara Mwaka huu. Mazungumzo hayo yamefanyika Mei 14, 2024 katika Ofisi za PURA – Dar…

Read More

Wagoma kubeba mimba, kisa kukosa huduma ya zahanati

Wanawake hao wamesema wanatumia nauli ya Sh14,000 mpaka Sh18,000  kutafuta huduma za afya Kijiji cha Bushiri TS; Wakazi wa Kijiji cha Mwembeni hali hiyo inawaweka katika hatari ya kupoteza maisha wao au watoto watakaowazaa S: Wanawake hao wamesema wanatumia nauli ya Sh14,000 mpaka Sh18,000  kutafuta huduma za afya Kijiji cha Bushiri By Rajabu Athumani, Mwananchi…

Read More

Meridianbet Yapiga Hodi Soko la Nasdaq Marekani

* “Meridianbet Yapiga hatua kwenye soko la Kimataifa na sasa habari njema kwa wateja wake ni kwamba wanaweza kuwa sehemu ya Kampuni hii kubwa ya ubashiri na michezo ya kasino kwa kununua hisa” UMEPITA Mwaka mmoja tangu yafanyike makubaliano ya maridhiano ya kibiashara kati ya Meridianbet na Golden Matrix Group, ilikuwa ni Januari 2023 sehemu…

Read More