
WAZIRI MHAGAMA ASHIRIKI MKUTANO WA KUJADILI HALI NA ATHARI ZA MVUA ZA EL NINO KATIKA UKANDA WA SADC
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama akiwa pamoja na wajumbe kutoka Wizara zinazohusika na Masuala ya Kilimo, Maji, Nishati na Uratibu wa Udhibiti wa Maafa wa nchini Tanzania wakati wa Mkutano wa kujadili hali na athari za mvua za El Nino katika Ukanda wa SADC uliofanyika kwa…