Samia ataja changamoto upatikanaji nishati safi Afrika

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametaja changamoto tatu zinazokwamisha upatikanaji wa nishati safi ya kupikia, ikiwamo gharama kubwa za vyanzo vya nishati. Changamoto nyingine ni mataifa tajiri kutotoa kipaumbele kwa upatikanaji wa nishati safi ya kupikia na kutoshirikishwa kwa wadau wakiwamo wa teknolojia za kuzalisha nishati hiyo. Rais Samia ambaye ni mwenyekiti mwenza…

Read More

PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA RAIS SAMIA NCHINI UFARANSA.

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri anaeshughulikia Masuala ya Maendeleo ya Kimataifa wa Ufaransa Mhe. Chrysoula Zacharopoulou walipokutana Jijini Paris Ufaransa tarehe 13 Mei, 2024.  Rais Samia yupo nchini Ufaransa kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika…

Read More

WEKEZA KATIKA UTAFITI KUCHOCHEA MAENDELEO: DKT. BITEKO

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali inatambua umuhimu na mchango wa utafiti wa kisayansi katika nyanja za kijamii, kiuchumi na kisayansi zinazochangia kuchochea maendeleo ya nchi. Dkt. Biteko ameyasema hayo leo Mei 14, 2024 jijini Dar es…

Read More

Kamera kudhibiti mauaji ya wanyamapori Mikumi

Morogoro. Mradi wa ufungaji kamera maalumu za usalama kwa ajili ya kunasa matukio (CCTV) pembezoni mwa barabara ya Tanzania –Zambia, unatarajia kuanza siku yoyote.  Kamera hizo zitakazofungwa katika kipande cha barabara yenye urefu wa kilomita 50 ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, zinalenga kudhibiti matukio ya mauaji ya wanyamapori ndani ya hifadhi hiyo. Akizungumza…

Read More

TET yaendelea na ufuatiliaji wa mtaala ulioboreshwa

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania(TET), Dkt Aneth Komba leo tarehe 14/05/2024 amefanya ziara ya kikazi katika shule ya msingi Makumbusho ya jijini Dar es Salaam kwa ajili kujionea utekelejezaji wa Mtaala ulioboreshwa kwa ngazi ya elimu ya Awali na Msingi. Akiwa katika shule hiyo, Dkt. Komba amepata nafasi ya kufanya mazungumzo na Mwalimu…

Read More

Fukwe Zanzibar zatengewa Sh661 milioni

Dodoma. Katika mwaka wa fedha 2024/25 Serikali imetenga Sh661 milioni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya ujenzi wa fukwe zilizoathirika na mabadiliko ya tabianchi upande wa Zanzibar.  Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Khamis Hamza Khamis amesema hayo leo Jumanne  Mei 14, 2024 alipojibu swali la…

Read More

EXIM Bank, Msalaba Mwekundu wapanda miti, wachangisha damu

  BENKI ya Exim imeshirikiana na Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) pamoja na Mpango wa Damu Salama Tanzania (NTBS) kupanda miti na kuendesha zoezi la uchangiaji damu katika maadhimisho ya Siku ya Msalaba Mwekundu Duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Maadhimisho hayo yaliyofanyika jijini Dodoma ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Dk. Dotto Biteko, Naibu…

Read More