
Samia ataja changamoto upatikanaji nishati safi Afrika
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametaja changamoto tatu zinazokwamisha upatikanaji wa nishati safi ya kupikia, ikiwamo gharama kubwa za vyanzo vya nishati. Changamoto nyingine ni mataifa tajiri kutotoa kipaumbele kwa upatikanaji wa nishati safi ya kupikia na kutoshirikishwa kwa wadau wakiwamo wa teknolojia za kuzalisha nishati hiyo. Rais Samia ambaye ni mwenyekiti mwenza…