Sh500 bilioni kutumika kuboresha miundombinu Muhimbili

Dodoma. Sh500 bilioni zitatumika kuijenga upya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ili kuwezesha huduma zote za kibingwa na ubingwa bobezi kupatikana. Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hayo leo Jumanne Mei 14, 2024 alipojibu swali la mbunge wa Konde, Mohamed Said Issa. Katika swali, mbunge huyo amehoji kwa kuwa matibabu ya kibingwa na bobezi bado…

Read More

Waziri SMZ akoshwa na kazi za Global Education Link

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar SMZ imesema itaendesha msako na kuzifutia usajili wa wakala wa elimu ya nje ambao wanafanya kazi zao kwa ubabaishaji. Aidha, imeipongeza Global Education Link GEL kwa mchango mkubwa inayotoa kwenye sekta ya elimu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Hayo yalisemwa jana Jumatatu na Naibu Waziri wa Naibu Waziri wa Elimu…

Read More

Shule ya Kimataifa ya Al-Irshaad yakuza vipaji

-Vijana wake wa Mpira wa miguu kumenyana  na Tottenham na Wolves Shule ya Kimataifa ya Al-Irshaad iliyopo Masaki Jijini Dar es Salaam inawataka Watanzania kupeleka watoto wao kupata elimu shuleni hapo ili kuvumbua na kuendeleza vipaji vya vijana wa Kitanzania. Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Salim Sadiq anasema swala la kukuza vipaji na kuviendeleza ni…

Read More

MIUNDOMBINU YA BARABARA INAYOJENGWA NI KWAAJILI YA KUWASAIDIA WANANCHI – MHE KATIMBA

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainabu Katimba (Mb) amsema Serikali imekuwa ikijenga miundombinu mbali mbali kama vile Barabara kwa lengo la kuwasaidia Wananchi hivyo Serikali haitasita kuchua hatua kwa anayekwamisha jitihada hizo. Mhe. Katimba amesema hayo leo Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi cha…

Read More

Balozi wa Pamba nchini alia na uzalishaji hafifu

Na Samwel Mwanga, Maswa BALOZI wa Pamba nchini, Agrey Mwanri, amesema kuwa uzalishaji mdogo wa zao la pamba kwa ekari unasababishwa na baadhi ya viongozi ambao hawatimizi wajibu wao katika kusimamia wakulima wa zao hilo kulima kwa kufuata sheria na kanuni zinazoongoza kilimo cha zao hilo. Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Wilaya…

Read More