Lissu aanika ushahidi tuhuma za rushwa Chadema

Dar es Salaam. Unaweza kusema siku ya kwanza ya kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ilikuwa sawa na moto. Kinaelezwa kuwa kilikuwa kikao cha kusemezana, kuonyana na kuambiana ukweli. Kikao hicho kilichoanza juzi saa tano asubuhi, licha ya kuwa na ajenda kadhaa, kilishuhudia Makamu Mwenyekiti-Bara, Tundu Lissu akiwasilisha ushahidi wa…

Read More

Mtumishi wa Halmashauri atoweka siku 20

Dar es Salaam. Mtumishi wa Halmashauri ya Kisarawe mkoa wa Pwani, Salum Kunikuni (29) amepotea tangu Aprili 23, 2024 alipokuwa anaelekea kazini akitokea nyumbani kwao Zingiziwa. Salum ambaye ni dereva wa Halmashauri ya Kisarawe akiendesha magari ya kitengo cha kilimo, tangu kutoweka kwake bado juhudi za kumtafuta hazijazaa matunda. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Mei…

Read More

TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA NA ZAMBIA

Na mwandishi wetu Tunduma KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Banda wameweka mikakati ya kuimarisha utendaji kazi wa mpaka wa Tanzania na Zambia, Tunduma ili kuwahudumia kwa ufanisi wasafiri na wasafirishaji kutoka pande zote. Akizungumza na waandishi wa.habari jana Kamishna Kidata…

Read More