Wenye fani, sifa hizi ajira nje nje Polisi

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limetangaza nafasi mbalimbali za ajira kwa vijana wenye elimu ya shahada, astashahada, kidato cha sita na nne, huku moja ya sifa kwa muombaji lazima awe raia wa Tanzania wa kuzaliwa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi makao makuu Dodoma Mei 9,2024,  imeeleza miongoni mwa nafasi  hizo…

Read More

MICHEZO NI AFYA, NI FURSA YA AJIRA – MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema michezo ni zaidi ya afya na burudani, ni fursa ya ajira na pia hupunguza magonjwa mwilini. “Kama mnavyofahamu, michezo ni zaidi ya afya na burudani lakini leo tunathibitisha kuwa baada ya mbio hizi, sote tumefurahi na miili yetu imeimarika.” Ametoa kauli hiyo leo (Jumamosi, Mei 11, 2024) wakati akizungumza na…

Read More

‘Jengeni kwa chuma kulinda mazingira’

Unguja. Wakati sekta ya ujenzi ikitajwa kuwa miongoni mwa zinazochangia kwa kiasi kikubwa kuharibu mazingira, wahandisi wameshauriwa kujifunza matumizi ya teknolojia ya chuma ambayo ni rahisi na rafiki kwa mazingira. Pia, wataalamu hao wametakiwa kuzingatia maeneo ya urithi wa dunia wanapoendesha shughuli zao ili yaendelee kuwa katika sura ileile. Hayo yalibainika jana, wakati wa mkutano…

Read More

SERIKALI YAPONGEZA MCHANGO WA RED CROSS TANZANIA

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati-Rais Samia atunukiwa Tuzo ya Ubinadamu; -Ombi la ruzuku kwa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania lafanyiwa kazi; Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Serikali inatambua mchango mkubwa unaotolewa na Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (Tanzania Redcross Society) katika utoaji…

Read More

Wasomea masomo ya sanaa kwenye maabara ya sayansi

Morogoro. Kutokana na uhaba wa viti, meza na madarasa, wanafunzi wa sanaa katika Shule ya Sekondari Ifakara wilayani Kilombero, wanalazimika kutumia maabara kusoma masomo yasiyohusiana na sayansi. Wanafunzi hao ni wale walio katika programu ya kurejea shule baada ya kupata changamoto mbalimbali za kimaisha ikiwamo ujauzito. Katika kituo hicho kuna  jumla ya wanafunzi 50, kati…

Read More

Rais Samia mwenyekiti mwenza mkutano wa nishati safi ya kupikia

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, atakuwa mwenyekiti mwenza katika mkutano wa nishati safi ya kupikia kwa Afrika utakaofanyika nchini Ufaransa. Anatarajiwa kuondoka nchini kesho Mei 12, 2024 kuhudhuria mkutano huo utakaofanyika Paris, Ufaransa. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…

Read More

Meridianbet yatoa msaada Kigamboni siku ya Mama Duniani

MABIBGWA wa michezo ya kubashiri kampuni yaMeridianbet imefika kigamboni leo siku ya kina Mama duniani na kufanikiwa kutoa msaada katika Zahanati inayopatikana Mji mwema. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Meridianbet wamekua na utaratibu wa kurudisha kwenye jamii yake pale ambapo wanahitajika na ndio walichokifanya leo, Kwani wametoa msaada wa vitu mbalimbali kama unga, mafuta,…

Read More