Wagombea kanda nne Chadema kikaangoni kesho

Dar es Salaam. Wakati kikao cha siku tatu cha Kamati Kuu ya Chadema kikianza leo Mei 11, 2024, baadhi ya wagombea wa uchaguzi wa kanda nne za chama hicho wameeleza hofu ya ushindani mkali uliopo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika baadaye mwezi huu. Jumla ya watia 135 nia wa nafasi mbalimbali kutoka Kanda za Serengeti (Mara,…

Read More

Uvunjaji mikataba usiofuata sheria wamliza wakili mkuu

Dar es Salaam. Kwa mara nyingine Wakili Mkuu wa Serikali, Dk Boniface Luhende ametaja mambo matano yanayoweza kuathiri utendaji wa taasisi yake, akirejea uvunjaji wa mikataba kwa taasisi za umma bila kuzingatia sheria unavyoitia hasara Serikali. Uvunjaji huo wa mikataba licha ya kutozingatia sheria na kanuni, amesema unapofanyika ofisi yake haishirikishwi. “Baadhi ya taasisi za…

Read More

Wagombea kanda nne Chadema kikaangoni leo

Dar es Salaam. Wakati kikao cha siku tatu cha Kamati Kuu ya Chadema kikianza leo Mei 11, 2024, baadhi ya wagombea wa uchaguzi wa kanda nne za chama hicho wameeleza hofu ya ushindani mkali uliopo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika baadaye mwezi huu. Jumla ya watia 135 nia wa nafasi mbalimbali kutoka Kanda za Serengeti (Mara,…

Read More

Jamii yahamasishwa ushiriki Mwenge wa Uhuru

Unguja. Viongozi, wafanyakazi, wananchi, vikosi vya ulinzi na usalama pamoja na  wafanyabiashara wameombwa kushiriki mapokezi ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2024. Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Tabia Maulid Mwita ametoa ombi hilo jana Mei 10, 2024 alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu mapokezi ya Mwenge wa Uhuru Zanzibar. Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kuwasili…

Read More

Majaliwa: Tengeni maeneo ya wananchi wafanye mazoezi

Mbeya. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa wilaya na mikoa kuharakisha kutenga maeneo kwa ajili ya wananchi kufanya mazoezi kwa lengo la kuwakinga na magonjwa yasiyoambukiza. Pia,  amewataka wakuu wa mikoa kuwaagiza wakuu wa wilaya kupiga marufuku watumishi wa idara ya ardhi kupima na kuuza maeneo ya wazi. Majaliwa amesema hayo leo Jumamosi Mei…

Read More

Dk.Mpango aagiza trafki kuvaa makoti ya kamera kudhibiti rushwa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango amelitaka Jeshi la Polisi nchini kuangalia upya mfumo mzima wa utoaji leseni, ukaguzi wa magari, matumizi ya teknolojia hususan kamera za barabarani na matumizi ya Body-cam jackets zitakazoonesha mazungumzo baina ya askari na madereva ili kudhibiti rushwa barabarani, kuimarisha weledi na uthabiti wa…

Read More