Ukweli kuhusu ‘ardhi inayotembea’ Muleba, athari zake kwa wananchi

Muleba. Wakati mvua katika maeneo mbalimbali nchini zikisababisha mafuriko, baadhi ya maeneo yameshuhudia maporomoko ya tope linalotembea kama maji, jambo ambalo limewastaabisha watu ambao hawakuwahi kushuhudia jambo hilo. Hicho ndiyo kinachotokea katika Kitongoji cha Kabumbilo kilichopo katika Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, ambapo tope linalotembea kuelekea mwambao wa Ziwa Victoria, limeibua gumzo mitandaoni huku watu…

Read More

Heineken Tanzania Yashirikiana na Lead Foundation ya Kupambana na Mabadiliko ya Tabianchi na Kurejesha Misitu

 Katika kukabiliana na ongezeko la athari za mabadiliko ya tabianchi na uharibifu wa mazingira, kampuni ya Heineken Tanzania imeanzisha ushirikiano wa kimkakati na shirika la mazingira la Lead Foundation. Lengo la ushirikiano huu ni kufanya mipango endelevu ya kurejesha misitu iliyoharibiwa na kulinda mazingira yetu. Meneja wa Kampuni ya Heineken Tanzania, Obabiyi Fagade akizungumza na…

Read More

ZRA yataja imani za dini kikwazo ulipaji wa kodi

Unguja. Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imesema licha ya jitihada kubwa inazofanya na kuboresha mifumo ya ulipaji kodi bado upo chini ya asilimia 98. Pamoja na mambo mengine, ulipaji kodi wa hiari unakumbana na vikwazo ikiwamo imani ya dini kwamba kulipa kodi si sawa kwa sababu wanalipa zaka, hivyo kuwaomba wajumbe wa Baraza la Wawakilishi…

Read More

Jinsi Maisha yalivyo mchana, usiku Stendi ya Magufuli

Dar es Salaam. Ukiweka kando usafiri unaounganisha maeneo ya ndani na nje ya nchi, Stendi ya Magufuli ni sehemu ambayo wasafiri na wakazi wengine wa Jiji la Dar es Salaam wanaweza kununua bidhaa za mahitaji mbalimbali.  Stendi hiyo iliyogharimu Sh50.9 bilioni, iliyopo Mbezi Luis, Wilaya ya Ubungo, ilizinduliwa Februari 22, 2021 na hayati Rais John…

Read More

Dk. Ndumbaro atuma ujumbe  mzito TEFA ikizindua ofisi

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro, amekitaka Chama Cha Soka Wilaya ya Temeke(TEFA), kulinda na kuendeleza  heshima ya kimpira  wilayani humo kwa kuepuka migogoro. Dk. Ndumbaro alipiga simu wakati  hafla ya uzinduzi wa ofisi za chama hicho uliofanyika  leo Mei 10, 2024 kwenye Uwanja wa TEFA, Tandika,…

Read More

ZFDA yapiga marufuku maziwa ya Infacare kuuzwa Zanzibar

Unguja. Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDA) imepiga marufuku uingizwaji, uuzwaji na usambazaji wa maziwa ya kopo aina ya Infacare kutokana na kuwepo maandishi kwenye bidhaa, yanayokataza kuuzwa nchini hiyo.  Kaimu Mkurugenzi Idara ya Udhibiti Usalama wa Chakula, Khadija Ali Sheha amesema hayo jana kwamba hatua hiyo inalenga kulinda afya za watoto na…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA UJUMBE WA KANISA LA ANGLIKANA UKIONGOZWA NA ASKOFU MKUU MHASHAMU JUSTIN WELBY

MAASKOFU wa Kanisa la Anglikana wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-5-2024, wakiwa Zanzibar kwa ajili ya Ibada ya Maridhiano kutokana na madhila waliyofanyiwa Waafrika wakati wa Biashara ya Utumwa inayotarajiwa kufanyika kesho 12-5-2024…

Read More

Askari Kinapa, mgambo matatani wakituhumiwa kwa mauaji

Moshi. Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linawashikilia askari wawili wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa) na mgambo kwa tuhuma za kumuua kwa risasi kijana Octovania Temba. Temba ni mkazi wa Kijiji cha Komela kilichopo Kata ya Marangu Magharibi, wilayani Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro. Wakazi wa Kijiji cha Komela kilichopo Kata ya Marangu Magharibi, wilayani…

Read More