
Trafiki kuvishwa majaketi yenye kamera kudhibiti rushwa
Dodoma. Serikali imesema iko kwenye mchakato wa kutumia majeketi yenye kamera watakayovaa askari wa usalama barabarani ‘trafiki’ kama sehemu ya kifaa cha kazi kwa lengo la kudhibiti rushwa barabarani. Hayo yamesema leo Jumamosi Mei 5, 2024 na Makamu wa Rais Dk Philip Mpango wakati akifungua Kituo cha Polisi Daraja A Wilaya ya Kipolisi Mtumba jijini…