Bulaya alipua bomu wadaiwa sugu wa maji, vinara hadharani

Dodoma. Wakati Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson akisema suala la ufinyu wa bajeti ya Wizara ya Maji litajadiliwa kati ya Kamati ya Bajeti na Serikali, mbunge wa viti maalumu, Ester Bulaya amesema taasisi za umma zinadaiwa ankara za maji za Sh26 bilioni. Katika mchango wake bungeni, Bulaya alieleza taasisi za majeshi ndizo zinazodaiwa madeni…

Read More

Sakata mtuhumiwa kupigwa risasi lachukua sura mpya

Dar es Salaam. Wiki moja baada ya Mwananchi kuripoti tuhuma za ofisa wa Polisi kudaiwa kumpiga risasi Ronald Mbaga wakati akimhoji kwa tuhuma za kuiba bastola ya mfanyabiashara, mfanyabiashara huyo naye amelalamika kutotendewa haki na Polisi. Ilidaiwa kuwa ofisa huyo wa polisi (jina limehifadhiwa) alimpiga risasi Mbaga akiwa anamhoji nyumbani kwake, lakini madai hayo yamekanushwa…

Read More

RC Tanga ataka udhibiti utoroshaji madini Horohoro

Tanga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian amezitaka taasisi na mamlaka zinazosimamia Kituo cha Huduma Jumuishi cha Horohoro kufuatilia na kudhibiti utoroshaji wa madini ya vito kwenye eneo hilo kwa kuwa kunaikosesha Serikali mapato. Akizungumza na watumishi wa taasisi na mamlaka zaidi ya 17 zinazosimamia Kituo cha Huduma Jumuishi Horohoro leo Ijumaa Mei…

Read More

Wabunge Mbeya wahamasisha uwekezaji kwenye madini, kilimo

Mbeya. Wabunge wa Mkoa wa Mbeya wamewataka wafanyabiashara kuchangamkia fursa za uwekezaji katika sekta ya madini, kilimo cha mpunga na tumbaku. Wabunge hao, Masache Kasaka wa Lupa (CCM) na Bahati Ndingo wa Mbarali (CCM), wametoa hamasa hiyo leo Ijumaa Mei 10, 2024 kwenye mkutano wa majadiliano kati ya sekta ya umma na binafsi uliofanyika mkoani…

Read More

ACT Wazalendo yapaza sauti bajeti ndogo Wizara ya Maji

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimedai bajeti ya Wizara ya Maji ya 2024/24 iliyowasilishwa bungeni, haiakisi mpango wa wizara hiyo katika utekelezaji wa kufikisha huduma kwa Watanzania. Hata hivyo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema suala la ufinyu wa bajeti ya Wizara ya Maji litajadiliwa kati ya Kamati ya Bajeti na Serikali….

Read More