Saa 48 za mtifuano mkutano wa kidemokrasia

Dar es Salaam. Saa 48 za mkutano wa wadau wa demokrasia nchini ulikuwa moto ambapo hoja nzito ziliibuliwa, baadhi ya wadau kunyoosheana vidole, wengine kutaniana na mwisho wa mkutano huo kutoka na maazimio ya pamoja.Mkutano huo uliofanyika Mei 8 na 9 mwaka huu jijini Dar es Salaam ulilenga kutafakari na kujenga uelewa wa pamoja juu…

Read More

Hali ya kibinaadamu yazidi kuwa mbaya Gaza – DW – 10.05.2024

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema hata asiposaidiwa na nchi yoyote, wataendeleza operesheni yao ya kijeshi huko Gaza hadi kulitokomeza kabisa kundi la Hamas ambalo limeorodheshwa na Umoja wa Ulaya, Marekani, Ujerumani na mataifa kadhaa ya Magharibi kama kundi la kigaidi. Siku ya Alhamisi,  Netanyahu  alisema kuwa kitisho cha Marekani cha kuzuia kuipatia Israel baadhi…

Read More

WAZIRI UMMY:MARUFUKU KUUZA VITABU VYA KLINIKI

Na WAF – Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amepiga marufuku kwa watendaji wa Wizara ya Afya na wadau wake kutowauziaWajawazito vitabu vya kliniki huku akimuagiza Katibu Mkuu kuhakikisha vitabu vinapatikana muda wote. Waziri Ummy amesema hayo Mei 10, 2024 jijini Dodoma katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma wakati hafla ya kuzindua…

Read More

RC Malima ataka wanahabari Morogoro kuwa mabalozi wa Utalii

Mkuu wa Mkoa Morogoro Adam Malima amewataka wanahabari mkoani humo kuwa mabalozi wa utalii Kwa kuandika Habari na makala mbalimbali zitakazowavutia watalii wengi kutoka nje na ndani ya nchi. RC Malima ameyasema hayo wakati akifungua Mafunzo kwa wanahabari zaidi ya 30 yaliyoandaliwa na Chama Cha Waandishi wa habari Tanzania (TAMPA) kwa kushirikiana na TANAPA akisema…

Read More