Deby ashinda uchaguzi mkuu – DW – 10.05.2024

Tuelekee huko nchini Chad ambapo kiongozi wa kijeshi nchini humo Mahamat Idriss Deby Itno ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika Mei 6, lakini mpinzani wake mkuu anayapinga matokeo hayo yaliyotangazwa na tume ya uchaguzi. Ushindi huo wa Deby utarefusha utawala wa familia yake ambayo imekuwepo madarakani kwa miongo kadhaa sasa.  Soma zaidi. Idriss Deby Itno atangazwa…

Read More

‘Acheni dhana potofu kuhusu tohara’

Musoma. Wakazi wa Mkoa wa Mara wametakiwa kuachana na dhana kuwa mtoto wa kiume akifanyiwa tohara katika umri mdogo uume wake utakuwa mdogo, badala yake wafanye tohara mapema ili kujiepusha na magonjwa vikiwamo Virusi vya Ukimwi (VVU). Wito huo umetolewa mjini hapa leo Ijumaa Mei 10, 2024 na Mratibu wa Upimaji wa VVU na Huduma…

Read More

UTARATIBU WA BIMA YA AFYA NI KUCHANGIANA SIO MSAADA

Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema kuanza kutekelezwa kwa Bima ya Afya kwa wote itakuwa suluhisho la kudumu la kurahisisha upatikanaji wa huduma za Afya kwa makundi yote nchini ikiwemo wanafunzi Kauli hiyo imebainishwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel leo Jijini Dodoma wakati akijibu swali Namba 305 kutoka kwa Mbunge wa Sikonge,…

Read More

Wachimbaji waendelea kuiangukia Serikali mbadala wa zebaki

Butiama. Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika mgodi wa dhahabu wa Buhemba wilayani hapa,  wameiomba Serikali kuwaletea njia mbadala ili kuondokana na matumizi ya zebaki katika uchimbaji wao. Wachimbaji hao wamesema kwa muda mrefu Serikali imekuwa ikieleza juu ya uwepo wa madhara ya kiafya ya moja kwa moja kwa watumiaji wa zebaki pamoja na mazingira, lakini…

Read More

Zoezi la sensa Uganda laanza na malalamiko ya wafanyakazi – DW – 10.05.2024

Baadhi ya maafisa walioshiriki mafunzo ya  kuendesha zoezi la sensa Uganda ambalo limeanza Alhamisi usiku wanalalamika kuwa hawajapokea vitendea kazi ikiwemo kifaa cha kidijitali cha kurikodi taarifa kutoka kwa raia. Isitoshe hawana sare wala vitambulisho kuweza kukaribishwa majumbani mwa watu ambao wamesalia makwao wakisubiri kuhesabiwa.  Serikali ilitangaza Ijumaa kuwa siku ya mapumziko kwa ajili ya sensa. Soma…

Read More