DC James ashangaa udumavu wilaya yenye vyakula tele

Iringa. Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Kheri James amesema tatizo la udumavu kwenye wilaya hiyo halitokani na uhaba wa vyakula isipokuwa mpangilio mbovu wa ulaji. Amesema ni aibu kuitwa mkuu wa wilaya kwenye eneo lenye vyakula vya kutosha lakini udumavu ni mkubwa. James amesema hayo jana Mei 9, 2024 kwenye maadhimisho ya Siku ya Mkulima…

Read More

TAWA YAPONGEZWA KWA JITIHADA ZA KUDHIBITI WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU UKEREWE

Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe Bw. Joshua Bituri Manumbu ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA kwa jitihada endelevu za kuelimisha jamii namna ya kuepuka madhara yanayoweza kusababishwa na wanyamapori wakali na waharibifu hususani mamba na viboko na kuwadhibiti pale wanapoonekana kuhatarisha maisha ya wananchi. Pongezi hizo zimetolewa…

Read More

Mbunge ataka fao la kujitoa lirejeshwe

Dodoma. Mbunge wa Malinyi,  Antipas Mgungusi amehoji iwapo Serikali haioni haja ya kurejesha fao la kujitoa kwa watumishi, huku akitaka wapatiwe michango yao wanapoacha kazi bila kusubiri umri wa miaka 55 au 60. Fao hilo liliondolewa katika kanuni mpya za mafao zilizotengenezwa na Serikali baada ya kuunganishwa mifuko ya hifadhi ya jamii mwaka 2018. Kuondolewa…

Read More

Hifadhi ya Taifa Katavi Yaimarisha Ulinzi na Usalama Wake kwa Majangili

Na Mwandishi wetu,Katavi MHIFADHI Mwandamizi wa Idara ya Himasheria na Ulinzi wa Kimkakati kutoka Hifadhi ya Taifa ya Katavi, Benedict Mbuya amesema hifadhi hiyo imeendelea kuimarisha ulinzi na usalama wake katika kukabiliana na majangili wa wanyamapori. Ameyasema hayo jana mkoani Katavi wakati akiongea na waandishi wa habari,Mhifadhi Mbuya amesema kutokana na ufanywaji wa doria za…

Read More

Kikokotoo na mafao vyatikisa Bunge, Spika ataka kibano kwa mifuko

SAKATA la kanuni mpya za ukokotoaji mafao ya wastaafu (kikokotoo) kupunja pensheni za watumishi, pamoja na ucheleweshaji wa malipo yake, limeendelea kutikisa Bunge, baada ya wabunge kuhoji hatua zinazochukuliwa na Serikali kuzifanyia marekebisho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Suala hilo limeibuka tena bungeni jijini Dodoma, leo tarehe 10 Mei 2024, licha ya Serikali kupitia…

Read More

NGORIKA WAOMBA KIVUKO – MICHUZI BLOG

Na Mwandishi wetu, Simanjiro Wakazi wa Kata ya Ngorika wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wamekumbwa na wakati mgumu baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokana na mvua hivyo kuhitaji kivuko au daraja. Wakazi hao hasa wa kijiji cha Nyumba ya Mungu hivi sasa wanatumia mtumbwi kuvuka eneo moja kwenda jingine kutokana na maji ya mafuriko kuzunguka maeneo…

Read More

Mambo matatu kuwakutanisha Chadema Dar kesho

Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) inatarajia kukutana kesho Jumamosi Mei 11, 2024 katika ofisi yao kuu ya Mikocheni jijini Dar es Salaam.  Hayo yamebainishwa jana Alhamisi Mei 9, 2024 kupitia taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje ya Chadema, John Mrema. Kamati hiyo inakutana…

Read More