
DC James ashangaa udumavu wilaya yenye vyakula tele
Iringa. Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Kheri James amesema tatizo la udumavu kwenye wilaya hiyo halitokani na uhaba wa vyakula isipokuwa mpangilio mbovu wa ulaji. Amesema ni aibu kuitwa mkuu wa wilaya kwenye eneo lenye vyakula vya kutosha lakini udumavu ni mkubwa. James amesema hayo jana Mei 9, 2024 kwenye maadhimisho ya Siku ya Mkulima…