Kenya : Siku ya kuwaomboleza walioathiriwa na mafuriko

Rais William Ruto wa Kenya ametangaza kuwa siku ya leo  Ijumaa kuwa ni siku ya mapumziko ili kuwaomboleza watu 238 waliopoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyoiathiri nchi hiyo. Rais Ruto jana alitangaza pia itakuwa siku ya kupanda miti ili kusaidia kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. Kenya pamoja na maeneo mengine ya Afrika Mashariki yameathiriwa…

Read More

Simbachawene: Matumizi ya e-office serikalini ni lazima

Iringa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amewataka wakuu wa taasisi zote za umma kutumia Mfumo wa Ofisi Mtandao (e-office) katika utendaji kazi na kuachana na matumizi makubwa ya karatasi katika utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka. Wito huo umetolewa jana Alhamisi Mei 9, 2024 wakati…

Read More

Mkakati wa kuongeza ushiriki wa wazawa miradi ya ujenzi

Kamamti ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeipongeza Wizara ya Ujenzi kwa kuandaa andiko la mkakati wa kuwawezesha makandarasi wazawa na washauri elekezi kwenye utekelezaji wa miradi ya Ujenzi na kusisitiza andiko hilo kushirikisha wataalamu kutoka Sekta mbalimbali nchini ili kuweza kuleta tija kwa Taifa. Akizungumza katika Semina iliyofanyika jijini Dodoma Aprili 9, 2024 Mwenyekiti wa…

Read More

Majokofu ya nyumbani yabainika kuhifadhia damu Korogwe

Dar es Salaam. Mwezi mmoja baada ya kubainika jokofu la matumizi ya nyumbani kuhifadhia damu katika Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama, mkoani Shinyanga, hilo limebainika tena mkoani Tanga.  Kwa mujibu wa taarifa ya Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali (Tamisemi), Mkurugenzi wa Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe, Ofisi ya Rais-Tamisemi, Dk Rashid Mfaume…

Read More

Wananchi wasisitizwa kutunza vyanzo vya maji

Bodi ya maji Bonde la Wami Ruvu imeendelea kusisitiza wananchi kuacha kufanya shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya maji kwa kuzingatia Sheria za mita sitini Wito huo umetolewa na mwanasheria bodi ya maji Bonde la Wami Ruvu Aloyce Lyimo wakati akizungumza jukwa la wadau wa maji wa kidakio cha Wami ambapo amesema licha ya elimu…

Read More

WAZIRI JAFO AHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema nishati safi ya kupikia inajumuisha mbinu zote zinazomuwezesha mtu kuandaa chakula bila kuathiri misitu. Amesema hayo wakati akishiriki mjadala wa Nishati Safi ya Kupikia kwenye kipindi cha Mizani kilichorushwa na Kituo cha Televisheni cha TBC1 tarehe 08 Mei, 2024…

Read More