Sababu wanaume kuwa hatarini kupata kiharusi

Miongoni mwa tabia hatarishi kwa wanaume ni kutokuwa na mwamko wa kusaka matibabu, ikilinganishwa na wanawake. Tabia hii imeelezwa kuwa kisababishi cha vifo vya mapema, kwani wengi hushindwa kujua hali zao za kiafya, ikiwemo magonjwa mbalimbali, hasa yasiyoambukiza na hivyo kukosa tiba za mapema. Kiharusi ni miongoni mwa magonjwa yanayoongezeka kwa sasa, kikiathiri zaidi watu…

Read More

Idriss Deby Itno ashinda uchaguzi Chad – DW – 10.05.2024

Matokeo hayo yamepingwa na mpinzani wake mkuu Succes Masra. Matokeo hayo yaliyokuwa yanatarajiwa Mei 21, yametolewa wiki moja mapema, na yamemuonesha Deby Itno akiwa na asilimia 61 ya kura huku Masra akipata asilimia 18.5 ya kura hizo. Kumesikika milio ya risasi N’djamena baada ya matokeo hayo kutangazwa. Chad ilifanya uchaguzi wake baada ya kucheleweshwa kwa…

Read More

Mbinu mpya uendeshaji Kikoba kidijitali

Dar es Salaam. Benki ya Maendeleo Tanzania (TCB) imezindua huduma ya Kikoba Mix Kidijitali kuwezesha wanachama kutengeneza kikundi mtandaoni na kuwa na uwezo wa kuweka michango, bila kujali mtandao wa simu wanaotumia. Mkurugenzi wa TCB, Adam Mihayo ameeleza hayo leo Mei 9, 2024 alipozindua kampeni ya ‘Toboa na Kikoba’ itakayowezesha vikundi kufanya kazi kidijitali. Aina…

Read More

ORYX, Equity waunga mkono serikali matumizi nishati safi

BENKI ya Equity na Kampuni ya Gesi ya Oryx zimekubaliana kuiunga mkono Serikali kuhusu matumizi ya nishati safi, ili kupunguza uchafuzi wa mazingira. Rais Samia Suluhu Hassan jana Mei 8, 2024 alizindua mkakati wa taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa lengo la kuhakikisha kuwa asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati hiyo ifikapo…

Read More

BARAZA LA USHINDANI LATOA ELIMU KWA WADAU DODOMA

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bw.Kaspar Mmuya,akisisitiza jambo wakati akifungua semina ya baraza la ushindani (FCT) kwa wadau wa Mkoa wa Dodoma lenye lengo la kukuza na kulinda ushindani wa kibiashara na kumlinda mlaji leo Mei 9,2024 jijini Dodoma. KATIBU Tawala wa Mkoa wa Dodoma Bw.Kaspar Mmuya,akizungumza wakati akifungua semina ya baraza la ushindani…

Read More

Serikali kuboresha sera ya miliki bunifu

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Serikali imeweka wazi kuwa inaendelea kuboresha sheria na sera ya miliki bunifu ili kuhakikisha  yanakuwepo mazingira rafiki yenye tija kwa wabunifu na Taifa kwa ujumla. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma ‘ Mwana FA’ wakati alipomuwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji…

Read More

Diane Rwigara kumvaa tena Rais Kagame

Mpizani wa Rais Paul Kagame, Diane Rwigara ametangaza kuwania tena urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Julai 15, 2024mwaka huu. Mbali na Diane, Rais Kagame ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 2000, anatarajiwa kupambana na Frank Habineza wa Chama cha Green na mgombea binafsi Philippe Mpayimana, kwenye uchaguzi huo. Diane, 42, kiongozi wa Chama cha People Salvation…

Read More