Mpango ataja vipaumbele tisa kampeni ya Mtu ni Afya

Pwani. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amesema nchi itajikita katika vipaumbele tisa, kwenye awamu ya pili ya Kampeni ya Mtu ni Afya. Vipaumbele hivyo ni pamoja na namna ya kushughulikia magonjwa yanayosababishwa na mabadiliko ya tabianchi, ikiwemo magonjwa ya mfumo wa hewa. Kampeni ya Mtu ni Afya iliyotimiza miaka 50 tangu kuanzishwa…

Read More

WAUGUZI WATAKIWA KULA KIAPO CHA KUTOA HUDUMA BORA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka wauguzi kula kiapo cha utoaji wa huduma bora. Waziri Mchengerwa ameyasema hayo jijini Tanga wakati wa kufungua Kongamano la kisayansi na Mkutano Mkuu wa 51 wa Chama Cha Wauguzi Tanzania. Amesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshamaliza…

Read More

Saa 72 za moto Chadema, kauli ya Lissu…

Dar/mikoani. Hatima ya nani atateuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwania nafasi za uenyekiti wa kanda, itajulikana baada ya Kamati Kuu kujifungia kwa siku tatu kuanzia kesho Jumamosi hadi Jumatatu. Pamoja na wateule hao kujulikana, baada ya kikao hicho, msimamo wa chama hicho kuhusu kauli ya Makamu Mwenyekiti wake Bara, Tundu Lissu juu…

Read More

RAIS SAMIA AZINDUA KIWANDA CHA KUUNGANISHA MALORI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi pamoja na Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Profesa Kitila Mkumbo mara baada ya kuzindua Kiwanda cha Kuunganisha Malori na Matipa cha Saturn Corporation Limited kilichopo Kigamboni Jijini Dar es…

Read More

ACT Wazalendo: Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi mjiuzulu wenyewe

Mwanza. Chama cha ACT Wazalendo kimesisitiza kwamba wajumbe wa Tume ya Uchaguzi waachie ngazi ili mpya ipatikane kutokana na mchakato wa sheria mpya unaotaka watu waombe, wafanyiwe usaili, majina yapelekwe kwa Rais kwa ajili ya kutangazwa kupata makamishina wapya. Akizungumza jana Mei 8, 2024 katika kata ya Nguruka wilayani Uvinza, mkoani Kigoma  aliyekuwa kiongozi wa…

Read More