DKT.BITEKO ATAKA Ma-DC, Ma-DAS NA Ma-DED KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI KWA KUZINGATIA SHERIA

📌Dkt. Biteko awataka kusikiliza na kutatua kero za wananchi kwa kuzingatia sheria 📌Asema maamuzi yao yasiwe ya upendeleo 📌Aelekeza kuandaa mkakati thabiti wa kutatua migogoro ya ardhi 📌Wakafanyie kazi mapendekezo ya ripoti ya Haki Jinai Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala na Wakurugenzi wa Halmshauri nchini…

Read More

MWAROBAINI MGOGORO WA ARDHI VIJIJI VINNE KUJULIKANA MWEZI JUNI, DC SAME ATULIZA MZUKA WA WANANCHI.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewataka wananchi kwenye maeneo yote yenye mgogoro wa mipaka katika vijiji vinne vya Bangalala, Makanya, Nasulo na Mwembe kutoendelea na shughuli yeyote mpaka hapo mwezi June mwaka huu Serikali itakapotoa ufumbuzi wa mgogoro huo. Mkuu huyo wa Wilaya amezungumza hayo kwenye mkutano…

Read More

PIGA PESA NA MECHI ZA EUROPA NA CONFERENCE

ALHAMISI ndio hii sasa mteja wa meridianbet ambapo leo hii una nafasi ya kupiga mkwanja wa maana ukibashiri mechi zako na meridianbet. Machaguo zaidi ya 1000 na ODDS KUBWA zipo hapa. Mechi kali leo hii ni kati ya wenyeji Bayer Leverkusen dhidi ya AS Roma majira ya saa 4:00 usiku ambapo hii ni mechi ya…

Read More

Lissu, Halima Mdee hapatoshi

VITA ya maneno kati ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu na Mbunge Viti Maalum aliyefukuzwa na chama hicho, Halima Mdee, kuhusu madudu aliyoyaibua katika chaguzi za ndani, imeendelea kupamba moto mitandaoni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Vita hiyo iliibuka baada ya Mdee kupitia ukurasa wake wa X…

Read More

IWPG Global Region 2 met with representatives of Ethiopian EBC Broadcasting Company

*Discussed business agreement with Genet Tadesse, CEO of Ethiopian public broadcaster EBC By Our Correspondent On the 30th of last month, a delegation from the International Women’s Peace Group Global Region 2 (IWPG, Global 2 Regional Director Seo-yeon Lee) met at the EBC broadcasting station with EBC Representative Genet Tadesse of Ethiopia, Office Director Molalin,…

Read More