Hapi apokelewa mkoani Singida – Millard Ayo

Katibu mkuu wa jumuiya ya wazazi CCM Taifa Ally Hapi leo tarehe 09/05/2024 amewasili mkoani singida kwa ziara ya siku tatu akitokea mkoani Dodoma ambapo amepokelewa na viongozi wa chama,jumuiya na serikali katika kijiji cha Lusilile kata ya Kintinku halmashauri ya wilaya ya Manyoni ambapo baada ya kuwasili amepokea taarifa kutoka kwa viongozi mbalimbali wa…

Read More

Serikali yapunguza kodi ya makampuni kwa 20%

SERIKALI imepunguza kodi ya makampuni kwa asilimia 20, kutoka asilimia 30 hadi 10, kwa kipindi cha miaka mitano ya mwanzo, lengo likiwa ni kuchochea uwekezaji katika sekta ya viwanda. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo yamesemwa leo tarehe 9 Mei 2024 na Rais Samia Suluhu Hassan, akizindua kiwanda cha kuunganisha malori na matipa cha…

Read More

Samsung Pioneers Global Expansion of Mobile AI, Bringing Galaxy AI Experience to Previous Models – MWANAHARAKATI MZALENDO

Dar es Salaam– May 9, 2024, Samsung Electronics Co., Ltd. has announced the availability of Galaxy AI features on an extended lineup of Galaxy devices, made possible through a new One UI 6.1 update. Engineered to advance the democratisation of mobile AI, this update sets a new standard for users’ mobile AI experience. Rolling out…

Read More

Mageuzi makubwa Sekta ya Ardhi yanakuja-Silaa

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesema mageuzi makubwa Sekta ya ardhi yanakuja baada ya kushuhudia utiaji saini kati ya Wizara yake na Mtaalamu Mshauri wa Mradi Mkubwa wa Kuimarisha na Kuboresha Miundombinu ya Upimaji na Ramani (LDI) wenye thamani takribani Sh Bilioni 150. Waziri Silaa…

Read More

Hali ya haki za binadamu Somalia inatia wasiwasi – DW – 09.05.2024

Katika mkutano na waandishi wa habari, Isha Dyfan ambaye ni mjumbe wa Umoja wa Mataifa ameweka bayana na kuelezea wasiwasi wake kutokana ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Somalia inayokabiliwa na machafuko ya kivita. “Kuhusu hali ya usalama nchini humo, Somalia inazidi kukabiliwa na changamoto si haba. Raia na hasa wanawake na watoto wangali wanaathirika pakubwa kutokana na…

Read More

‘Mageuzi makubwa sekta ya ardhi yanakuja’ Waziri Silaa

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amesema Mageuzi makubwa Sekta ya ardhi yanakuja baada ya kushuhudia utiaji saini kati ya Wizara yake na Mtaalamu Mshauri wa Mradi Mkubwa wa Kuimarisha na Kuboresha Miundombinu ya Upimaji na Ramani (LDI) wenye thamani takribani Bil. 150 za kitanzania. Waziri Silaa amebainisha kuwa Mradi huo…

Read More