Bunge lamkaba koo Mo Dewji kwa kutelekeza viwanda vya chai

SERIKALI inakusudia kumuweka kikaangoni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mohammed Enterprises Limited (MeTL), Mohammed Dewji, kumhoji iwapo ameshindwa kuendesha kiwanda na mashamba ya chai, yaliyoko wilayani Korogwe, Mkoa wa Tanga, ili yachukuliwe kwa ajili ya kumpatia mwekezaji mwingine. Pia anadaiwa kushindwa kuyaendeleza mashamba na mitambo ya viwanda vya chai huko Rungwe mkoani hali inayosababisha  wakulima kukosa…

Read More

Wanawake Kipunguni njia nyeupe uchaguzi 2024/25

Na Nora Damian, Mtanzania Digital “Wanawake tunapewa mbinu nyingi za kushiriki katika uchaguzi, tunapambana vya kutosha lakini tunarudishwa nyuma. Kuna vikwazo vingi tunaomba Serikali itende haki bila kujali mtu anatoka chama gani,” anasema mkazi wa Dar es Salaam, Rehema Mfaume. Rehema ambaye aliwahi kuwa Mjumbe wa Serikali ya Mtaa mwaka 2014 ni mfano wa wanawake…

Read More

Kimbunga Hidaya chaua 5, kaya 7,027 zikikosa makazi

SERIKALI imetoa tathmini ya athari za kimbunga Hidaya, kilichotokea tarehe 3 Mei 2024, ikisema wananchi wa wilaya kadhaa zilizoko katika Pwani ya Bahari ya Hindi, waliathirika zaidi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Tathmini hiyo imetolewa leo tarehe 9 Mei 2024, bungeni jijini Dodoma na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, aliyetaja wilaya zilizoathirika zaidi ikiwemo Mafia,…

Read More

Jubilee Allianz kuanza kutoa bima ya kilimo

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Katika jitihada za kuwahakikishia usalama wakulima Kampuni ya Bima ya Jubilee Allianz imetangaza kuanza kutoa bima ya mazao kwa wakulima. Mpango huo umetangazwa Mei 9,2024 wakati wa hafla ya kuwatambua mawakala wanaoshirikiana nao na kuwapongeza kwa kufanya vizuri. Akizungumza wakati wa hafla hiyo Mtendaji Mkuu wa Jubilee Allianz, Dipankar Acharya,…

Read More